FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

40' Kapombe anaonyeshwa Kadi ya Njano kwa mchezo mbaya

Msaka wa kutafuta bao la kusawazisha unaendelea hapa Liti
 
Natamani wafungwe mpaka basi! Maana wamechonga sana wiki hii kuhusu Yanga, huku wakisahau wana kimeo chao na Singida Big Dtars.
InshaAllah. Niliwaambia asubuhi mbio mbio kuanzisha uzi wa Yanga wa saa mbili usiku huku wakisahau wana tukio lao saa 10.

Na usishangae ndo ikatoka hiyoo. 🤣 🤣 🤣
 
I wish Singida Big Stars wangeshinda, baadaye na Mamelodi nao washinde! Halafu wanachi wafuzu ndani ya ardhi ya Waarab! Hakika hali ya hewa kesho ingekuwa ni tulivu sana.
If wishes were horses......
 
Azam nawaona mara nyingi hawatoi replay kama kuna tukio la penati halafu refa hajatoa. Waache ukuda Simba inawaingizia pesa nyingi sana.
 
Goooooooooooooooooooooaaaaalllll

Kick

Moses Phiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiii
 
Kona inapigwa kuelekea Singida Big Stars

Inapigwa kuleee lakini Mkude kichwa chake mpira unatoka nje.
 
Mkuu updates zaidi. Naona umeishia goli lilipoingia dakika ya 11 sasa yakaribia halftime [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…