Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bil 20.Matola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada
Mihogo fc tulieni kwanza😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Malalamiko ya kijinga haya
Taja wote. Umemsahau Akpan na Babla[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Matola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada
Usiwaze mrembo Lunyasi tutarudisha na kuongeza Cha pili.. Simba nguvu mojaDuuuh nilikua msibani hawajarudisha Lunyasi?
ni aibu lile tukio wamelirudia jamaa kajiangusha angefanya nini zaidi ya kujilaza maana uwezo wa kupenya hanaAzam nawaona mara nyingi hawatoi replay kama kuna tukio la penati halafu refa hajatoa. Waache ukuda Simba inawaingizia pesa nyingi sana.
Penalty ya nini cheza mpiraAzam nawaona mara nyingi hawatoi replay kama kuna tukio la penati halafu refa hajatoa. Waache ukuda Simba inawaingizia pesa nyingi sana.
Tutakurudishia hela yako uliyobetua. Najua haizidi 10,000.... Acha tu uchanike hela unarudishiwaDaaaaah
Naona dalili ya mikeka kuchanika[emoji53][emoji53][emoji53]
labda ipatikane red na penatiUsiwaze mrembo Lunyasi tutarudisha na kuongeza Cha pili.. Simba nguvu moja
Bro daily nakuambia simba kiungo hamna kitu kanoute kazidiwa vitu na ndemlaNicheke saizi nikucheke baadaye
Ila kumbuka anayecheka baadaye hucheka vizuri kuliko yule aliyetangukia awali
Hiyo presha ya mashambulizi kwenye viwanja vya Mikoani mnaitoa wapi? Halafu kwa timu ambayo ina professional wengi kama Singida big stars kweli!!Simba wanatakiwa kuongeza pressure ya mashambulizi, hawa Singida hawana lolote jipya, ni kuwalazimisha kufanya makosa watalegea wenyewe.
Kutoka "PUTIN" mpaka "TAKATAKA"Tukiongea simba kiungo hakuna mnatuona wachawi
Kumtegemea kanoute mnapoteza mda huyo mchezaji ni takataka
Hana creativity wala vision.
SawasawaSimba atashinda kwa goli moja, ila kwa mbinde sana.
mkuu si nyie mlikuwa mnasema kibu ni bora kuliko mayeleDaaah ila Kibu
Juuuuuuuuuuuuuuuuuma MguuuuuuuundaMatola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada