Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mlitu nukuu vibaya, siye tulisema Opahmkuu si nyie mlikuwa mnasema kibu ni bora kuliko mayele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlitu nukuu vibaya, siye tulisema Opahmkuu si nyie mlikuwa mnasema kibu ni bora kuliko mayele
We subiria wakuongezee mihogo pale nyuma baadaelabda kwa hisani ya refa
Hii nchi sihami aisee!! Mara hii tena? 😃Matola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada
Sako na banda ni pande mbili kwenye shilingi moja very Average playerJapo hatuchezi vizuri, ila hii game bado uwezekano wa kushinda ni mkubwa sana Kwa Simba.. toa Kibu weka kyombo, toa sakho weka Banda
Sawa mkuu, ngoja tufike group stage tumuoneHuyu anajaribisha. Ukitaka amini subiri twende group stage
hakuna shida waongeze tuWe subiria wakuongezee mihogo pale nyuma baadae
wametepeta tayariWatu washapakwa mafuta ya alizeti tayari kukaangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mwamuzi awape kadi nyekundu wachezaji wawili wa Singida Big stars, kama ilivyotokea kwenye mechi na Mtibwa.Usiwaze mrembo Lunyasi tutarudisha na kuongeza Cha pili.. Simba nguvu moja
Fanyeni swap Opah na KibuMlitu nukuu vibaya, siye tulisema Opah
Acha kumpakazia, ana familia ujueKocha mgunda hana jipya. Sasa ni wakati muafaka kwa simba kumtupia virago kocha huyu