Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni zenu bwana, lete mgunda. Atatoboa tuuNawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
Basi utusamehe mkuu, haturudia tena kuwacheka. Sisi ni wazalendo wenzenu. 😛Mnaotucheka hapa, baadaye msije na dhana ya kiujamaa kusema uzalendo
Ili siku iwe mbaya kwetu ni kuwa na hakika kuwa nyinyi mtashinda
Tukifungwa tutakuwa tumepoteza points 3 basi nyinyi mnabidi mshinde ili muwe na siku nzuri zaidi
Kwasababu mkifungwa mtakuwa mmepoteza points 3 na millions of money pamoja na CV mbovu
Pia hamtaishia hapo tu hata safari ya kocha itakuwa mwisho wake ndio hapo, wale vibopa mliokuwa mnawasifia wote wataonekana wana damu ya mandonga tu
😂😂😂Nawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
yamekuwa hayaNawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
Waombe mungu wazawasishe mnk watamtukna .matola Hadi mnoMatola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada
Mmeanza sasa [emoji23][emoji23]Kocha mgunda hana jipya. Sasa ni wakati muafaka kwa simba kumtupia virago kocha huyu
OKW BOBAN SUNZU , huyu ni shabiki mwezako! Halafu anamtukana Kibu Denis! Jambo hili linakubalika kweli?Kibu utanisamehe ila we ni mswnge kubabako
Huku kuchanganyikiwa sasa. Hapa ulitaka kuandika Okra au nikuache unateleza na mafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mlitu nukuu vibaya, siye tulisema Opah
Baadaye na sisi tutakuwa na kazi ya kuhesabu offside kwenye game yakoma offside ya kutosha ila wapiiiii