Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
InshalaahUsiwaze mrembo Lunyasi tutarudisha na kuongeza Cha pili.. Simba nguvu moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InshalaahUsiwaze mrembo Lunyasi tutarudisha na kuongeza Cha pili.. Simba nguvu moja
Sawa tusubiri mzeiyaWala mihogo jioni mna kazi
Ili uwe bingwa unatakiwa uweze kucheza viwanja vyoteNa ndio maana wajua namna ya kuutumia ili wanufaike nao
Acha visingizio mngekuwa taifa mngeaibika ndiyo maana Azam tukawaita mlipopazoea kwa mkapaNi kweli Singinda ni wazuri lauku kufungwa au kutanguliwa bao
Tungefungwa bao tukiwa katika high performance nisingeona tatizo hapo ni football imeamua
Ila kwa performance hii ya leo nashindwa kujua ni pengo la Chama, uwanja mbaya au ni kwasababu tumekaa siku nyingi bila kucheza mechi ili kuwa na fitness nzuri?
Shambuliaji la kimataifa hilo [emoji23]Daaah ila Kibu
Tunacheza ondoa shaka. Tunashinda game hiiPenalty ya nini cheza mpira
Kwani red na penat si ni sehem ya mchezo?? Au unataka tukipewa tuzikatae??labda ipatikane red na penati
Professionals wako Simba SC, hao wengine mitumba tu.Hiyo presha ya mashambulizi kwenye viwanja vya Mikoani mnaitoa wapi? Halafu kwa timu ambayo ina professional wengi kama Singida big stars kweli!!
Kanoute ni kitukoNo Chama no Party, pale kati Mdhamiru, Kanoute, Mkute wote wagonga nyundo hawana unyumbulifu.
sema refa yuko open kwenuGame tunashinda ipo open san
Huyu anajaribisha. Ukitaka amini subiri twende group stageJuuuuuuuuuuuuuuuuuma Mguuuuuuuunda
[emoji460]Pep Guadiora wa Bongo [emoji23][emoji23][emoji23] sasa omekuaje leo?
Amehamia kwa wasikilizaji wenzake kuwalalamikia akina Kibu Denis! 😃Mkuu updates zaidi. Naona umeishia goli lilipoingia dakika ya 11 sasa yakaribia halftime [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mapema saana?Matola hafai
Mgunda hatufikishi mahali
Kibu hana msaada
umemaliza kila kituKwani red na penat si ni sehem ya mchezo?? Au unataka tukipewa tuzikatae??
labda kwa hisani ya refaTunasawazisha na kuongeza goli..mpira wa kawaida sana huu
Simba anashinda hii mechi. SBS wepesi mno. Tactical switch ndogo ikifanyika Simba anashinda.Daaaaah
Naona dalili ya mikeka kuchanika😕😕😕