FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

Na Sakho naye au alisukumwa pale?
 
Nawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
Acheni zenu bwana, lete mgunda. Atatoboa tuu
 
Basi utusamehe mkuu, haturudia tena kuwacheka. Sisi ni wazalendo wenzenu. 😛
 
Nawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
😂😂😂

Juuuuuuuuuuuuma Mguuuuuuuuuuuunda

Goal kick
 
Nawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
yamekuwa haya
 
Phiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiii

Goooooooooooooooal

Kick
 
hivi hawa ma fwd wa nyau huwa hawa pitii hata clip za yanga kuona mayele,.faisal wanafanyaje wakiwa mbele ya lango la mpinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…