Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kichaka pekee mlicho baki nacho ni hiki, unasahau mwaka jana umechecheza shirikishoMihogo FC ucheze kama wao halafu uishie kupigania nafasi ya kuingia makundi ya losers Cup
hii timu haijawah kuwa na good performance sema wachambuzi wanaibeba tuVery poor performance
Na nikafika robo fainali,haya ya losers cup ni maneno ya msemaji wenu au unataka kusahau nani muasisi wa 'losers cup'?kichaka pekee mlicho baki nacho ni hiki, unasahau mwaka jana umechecheza shirikisho
kwa timu ganiSimba wakomae goli lirudi kabla ya HT
Nicheke saizi nikucheke baadayeMakolo mnatafuta pakuponea
hata ungecheza faianal bado n loosers cupNa nikafika robo fainali,haya ya losers cup ni maneno ya msemaji wenu au unataka kusahau nani muasisi wa 'losers cup'?
kuna penati kama mambo yakiwa magumuMchezo wanaocheza Simba kuna dalili kubwa tukalala. Unahitaji dakika 15 tu kujua Simba inashinda au inafungwa. Pasi mkaa na uvivu/kutojituma leo kutaigharimu Simba. Kibu Denis hajaonyesha kabisa kwamba ana nia ya kupigania namba kwenye kikosi cha kwanza.
Ushapanic tayari na bado haijafika saa mbili waarabu wakawakande kama maandazi.hata ungecheza faianal bado n loosers cup
leo mnapakwa mafuta ya alizeti
hahahaha sio kwa mabingwa mara28Ushapanic tayari na bado haijafika saa mbili waarabu wakawakande kama maandazi.
hakuna penati ya ivo29' Penalty mwamuzi anasema hapana, mpira unaendelea