FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

Kuelekea kwenye mchezo huu wa leo November 9, 2022

Simba SC inakosa huduma ya Kiungo Mshambuliaji hatari mwenye uwezo wa kukusanya Kijiji na kuwatupa kunako Lupango, Clatous Chama, kutokana kufungiwa michezo mitatu ya Ligi Kuu na Bodi ya Ligi.
Endapo Simba itapoze kisa Cham hayupo bas jaamaa atavimba kichwa snaaa na kujiona ndio roo ya simbaaaaa lawamaa simeaanza huku
 
Juuuuuuuuuma Mguuuuuuuuuuuuunda

Anashangaa pale mpira Alzeti mpira mafuta unavyochezwa na SBS
 
Leo wanapata aibu ya mwaka na hii mechi inaenda kuamua rasmi bingwa wa NBC
Hizi mechi tatu zitamuweka Yanga kwenye nafasi nzuri ya ubingwa.

No Chama no Party na muone huruma Mgunda jana aliongea mpaka anataka kulia.
 
Hivi kocha hajui sakho hawezi kutokea uoande wa kulia?
 
Hizi mechi tatu zitamuweka Yanga kwenye nafasi nzuri ya ubingwa.

No Chama no Party na muone huruma Mgunda jana aliongea mpaka anataka kulia.
Ukimaliza hapo ukamuonee na huruma Nabi maana leo ndiyo leo kule Tunisia
 
Phiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiiii

Kona
 
Some qualities are missing in SIMBA
 
Sakho sio mpiga kona, mara 10 nafasi hiyo apewe Kapombe
 
Back
Top Bottom