ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Naona bahasha za GSM zoshafanya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
manula ilibidi aanze aisee, mechi ngumu hiiVikosi vyote vya Singida Big Stars na Simba SC kwenye mchezo wa leo.View attachment 2411496View attachment 2411497
Endapo Simba itapoze kisa Cham hayupo bas jaamaa atavimba kichwa snaaa na kujiona ndio roo ya simbaaaaa lawamaa simeaanza hukuKuelekea kwenye mchezo huu wa leo November 9, 2022
Simba SC inakosa huduma ya Kiungo Mshambuliaji hatari mwenye uwezo wa kukusanya Kijiji na kuwatupa kunako Lupango, Clatous Chama, kutokana kufungiwa michezo mitatu ya Ligi Kuu na Bodi ya Ligi.
tunasubiri singida wapewe red card na tupewe penatiHawa wajinga kila siku wanaambia juu ya kuuchezea mpira hovyo nyuma kwa lengo la kutaka sifa hatimaye kachoma
Hizi mechi tatu zitamuweka Yanga kwenye nafasi nzuri ya ubingwa.Leo wanapata aibu ya mwaka na hii mechi inaenda kuamua rasmi bingwa wa NBC
Ukimaliza hapo ukamuonee na huruma Nabi maana leo ndiyo leo kule TunisiaHizi mechi tatu zitamuweka Yanga kwenye nafasi nzuri ya ubingwa.
No Chama no Party na muone huruma Mgunda jana aliongea mpaka anataka kulia.
Jinga kweli wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juuuuuuuuuma Mguuuuuuuuuuuuunda
Anashangaa pale mpira Alzeti mpira mafuta unavyochezwa na SBS
Yaah ila kwa sasa ngoja tumalize mechi hii.Ukimaliza hapo ukamuonee na huruma Nabi maana leo ndiyo leo kule Tunisia
Nabi Out pale kuna profesa maji marefu na siyo kochaMgunda out,hakuna kocha hapa