ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Yote ni sawaNi kweli Singinda ni wazuri lauku kufungwa au kutanguliwa bao
Tungefungwa bao tukiwa katika high performance nisingeona tatizo hapo ni football imeamua
Ila kwa performance hii ya leo nashindwa kujua ni pengo la Chama, uwanja mbaya au ni kwasababu tumekaa siku nyingi bila kucheza mechi ili kuwa na fitness nzuri?
Tulia Arajiga una kipengele baadaye kwahiyo hauna nafasi ya kumaliza siku ukiwa na furahaBahasha za GSM mshapokea
Umewaza kama Mimi mkuu.. maana Hawa singida wanapiga pasi vizuri kabisa ila sisi mipira yetu lazima idunde Dunde na kupoteza muelekeoHii pitch namashaka nayo
Nahisi kuna namna inayoa pasi na mfumo huu unajuliwa na wenyeji tu
Acha kutafuta visingizio. Siku zote mpira wenu ni wa mdomoni.Hii pitch namashaka nayo
Nahisi kuna namna inayoa pasi na mfumo huu unajuliwa na wenyeji tu
Wenyeji wanacheza hapo hapo mnapo cheza nyieHii pitch namashaka nayo
Nahisi kuna namna inayoa pasi na mfumo huu unajuliwa na wenyeji tu
Mamelody sundowns wanawasuubiri what a sorrow dayTulia Arajiga una kipengele baadaye kwahiyo hauna nafasi ya kumaliza siku ukiwa na furaha
Kama unacheka, cheka saizi afu baadaye nitamalizia mimi pale ulipoishia
Wa kimataifa hao Mkuu.Acha kutafuta visingizio. Siku zote mpira wenu ni wa mdomoni.
Labda Simba ulangaTunaitakia SIMBA ushindi mnono
Hadi fha Manungu kumbuka kilikubaliwa lakini hali ya uwanja yenyewe siku ya mwisho ilikuwa hairidhishihadi kinakubalika na bodi maana yake kimekidhi vigezo
sema wachezaji wa simba uwezo mdg mnoooo
Ndo kusema kakomboa. Ama? 🤣 🤣 🤣 🤣Kanuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuti
Simba SCkwa timu gani
Ngoma ya Nikki Mbishi hiyoYote ni sawa
Natamani wafungwe ili watulie! Maana wamechonga sana wiki hii kuhusu Yanga, huku wakisahau wana kimeo chao na Singida Big stars.Wa kimataifa hao Mkuu.
Wana kombe lao la makundi. Teh teh.