Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Wamekwishayamaliza kimilaHUU MCHEZO UNGEKUWA HALISI INGEKUWA MECHI NZURI SANA.
Nasikia ndugu hawa tayari wamekutana mazoezini.
Kwa maelezo haya ndio maana rage alikuwa sahihiHawa wangepeana point za mezani kuliko kusumbua watu waache kulala waangalie hii futuhi wakati matokeo yanajulikana
Yanga A Vs Yanga Bβ½οΈ Singida BSπYoung Africans SC
π 30.10.2024
π New Amaan Complex
π 8:30 PM
View attachment 3138679
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida Black Stars SCView attachment 3139371
ππππππ Wameisha ππBaaaaaasiiiii wameishaaa..planned..
Astaghafirullah πππππππππYanga A Vs Yanga B
Kaka Leo mnafungwaβ½οΈ Singida BSπYoung Africans SC
π 30.10.2024
π New Amaan Complex
π 8:30 PM
View attachment 3138679
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida Black Stars SCView attachment 3139371
Mwanetu Kibwana ndo kazini kwake kuna kazi.....dah.β½οΈ Singida BSπYoung Africans SC
π 30.10.2024
π New Amaan Complex
π 8:30 PM
View attachment 3138679
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida Black Stars SCView attachment 3139371
Haiwezekani kaka ππππππKaka Leo mnafungwa
ππππLeo kuna penati