FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Mechi za Jana na Leo Marefa wameibuka Nyota wa mchezo.
Soka letu kivyetu vyetu keshonayo ni siku
 
Unafkir UTOPOLO wana Akili? Sijawahi ona Shabiki wa Yanga mwenye akili timamu.. sijawahi kuona.. na haitotokea milele.
 
Kagere kuna kitu kanong'onezwa na kipa alipoenda kushika spot
 
sijauliza matumizi
nimeuliza ziliongezwa sita huyu hadi zinafika tisa alipata wapi zingine ikinijibu ndo tuje zilitumiwaje ndo ntakuuliza kona ilitokea wap
Ulivyoandika huu ujumbe inaonekana upo serious sana na soka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…