FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Mechi za Jana na Leo Marefa wameibuka Nyota wa mchezo.
Soka letu kivyetu vyetu keshonayo ni siku
 
Baadhi ya mashabiki wa kibongo ni kama mambuzi tu.

Kwenye ile mechi kati ya Simba Sc na Wydad kule ugenini ziliongezwa dakika ngapi? Na Simba Sc akaja kufungwa dakika ya ngapi?

Tulivyolalamika mashabiki wa Yanga Sc waliponda sana, ila leo kwakua haiko upande wao ndio wanaona tatizo?

Mimi sioni tatizo lolote kwa refa.
Unafkir UTOPOLO wana Akili? Sijawahi ona Shabiki wa Yanga mwenye akili timamu.. sijawahi kuona.. na haitotokea milele.
 
Kagere kuna kitu kanong'onezwa na kipa alipoenda kushika spot
 
sijauliza matumizi
nimeuliza ziliongezwa sita huyu hadi zinafika tisa alipata wapi zingine ikinijibu ndo tuje zilitumiwaje ndo ntakuuliza kona ilitokea wap
Ulivyoandika huu ujumbe inaonekana upo serious sana na soka.
 
Back
Top Bottom