Juzi mechi ya Yanga Kibabage alifunga dk ya ngapiDakika za nyongeza huo haziongezwi hata sekunde, angalieni mechi ya fainali Super Cup Kati ya Memolodi Sundowns na wale Waarabu iliyochezwa South Africa Mamelodi walifanya nini dakika za nyongeza wakati wanaongoza Kwa goli moja, msijifyatuwe akili.
Mwaka ujao Yanga Queens ndio watapelekwa kwenye hilo Bonanza la Mapinduzi, APR ndio hata msiangaike kuwaalika.
Tuliend kujarib watt. NB yanga ndo ilifungwamlipeleka timu ya nini Zanzibar?
Au mlienda kula urojo?
Kwahiyo mlijitoa makusudi kwa kufungwa na APR?Simba na Yanga ni timu za serikali hawawezi kujitowa kwenye hilo Bonanza la kisiasa.
Pumba na Michele zitaonekana kwenye Ligi kuu.
Sawa tukubali ni mapenzi ya refa.Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Chukua filimbi chezesha wwNenda u tube uka hakiki hakuna mchezaji yoyote wa Singida aliye ugusa mpira wakati unatoka miguuni kwa Saidoo ili iwe Kona.
Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Soccer letu kivyetu vyetu.
First leg ya Wydad na Simba ziliongezwa dakika ngapi na Wydad walkaja kupata bao dakika ya ngapi?Dakika za nyongeza huo haziongezwi hata sekunde, angalieni mechi ya fainali Super Cup Kati ya Memolodi Sundowns na wale Waarabu iliyochezwa South Africa Mamelodi walifanya nini dakika za nyongeza wakati wanaongoza Kwa goli moja, msijifyatuwe akili.
Mwaka ujao Yanga Queens ndio watapelekwa kwenye hilo Bonanza la Mapinduzi, APR ndio hata msiangaike kuwaalika.
Basi ndio maana wengi hawalaumu hilo tukioMkuu angalia vizuri wakati Saido anapiga mchezaji wa Singida aligusa ule mpira ndio maana kipa aliamua kukomaa japo ulikuwa una uelekeo wa kutoka
Pitia hii kauli ya Miguel kabla Yanga haijatolewa 😂Tuliend kujarib watt. NB yanga ndo ilifungwa
Kipa wa Singida alitoka nao nje kwa mapepe yake. Aliudaka kabla mpira haujatoka wote nje, kisha akatoka nao nje kama zuzu.Nenda u tube uka hakiki hakuna mchezaji yoyote wa Singida aliye ugusa mpira wakati unatoka miguuni kwa Saidoo ili iwe Kona.
Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Soccer letu kivyetu vyetu.
Asisahau na kauli ya msemaji wao kabla ya mechi na APRPitia hii kauli ya Miguel kabla Yanga haijatolewa [emoji23]
😂 😂
Dakika za nyongeza huwa hazina nyongeza Pimbi wewe.
Watu sijui mpira wanaangaliaje lakini unakuta mtu anapambana kubisha jambo la kipuuzi kabisa ile ni kona ya wazi tu, kwanza wakati saidoo anaupiga ule mpira ulimgusa mchezaji wa singida ndo ukapoteza muelekeo nakipa akataka kuuwahi kuzuia isiwe kona akaenda nao nje piaKaudaka halafu akatoka nao nje!! Hata kipindi cha kwanza alifanya hilo kosa!!
N saw we ulitaka asem kwamb ameend kukamilish ratib auPitia hii kauli ya Miguel kabla Yanga haijatolewa [emoji23]
Poleeeee kwa maumivuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada Mlandege kutoka visiwani Zanzibar amechaguliwa viti maalu kucheza fainal ya mapinduzi cup na dada Simba sc kutoka Tz Bara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Dadaziiii wakiwezeshwa wanaweza!.
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajabu Uto wanaumia na Matokea ya Singida...
Kuliko walivyoumia na yao[emoji1787]
Mpira ulishatoka Tena sio nusu, mpira wote ata mshika kibendela hakuangaika nao, Mbaya zaidi refa alikua mita 10 inakuaje atoe maamuzi ya kushangaza.Kipa wa Singida alitoka nao nje kwa mapepe yake. Aliudaka kabla mpira haujatoka wote nje, kisha akatoka nao nje kama zuzu.
Ova
Dk za nyongeza hazina nyongeza, unakuja kulalamikia mechi ya leo kwamba haina nyongeza,nimekuuliza Kibabage alifunga goli baada ya dk za nyongeza kuisha,pimbi ni wewe unaongea ukiwa umejitia kidoleDakika za nyongeza huwa hazina nyongeza Pimbi wewe.
Muite na mwenzio wa tujikumbushee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi hii