FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Hapana Mkuu, haukutoka wote.

Ova
Kama line 1 anasema Gool kick ambaye ndiye anatoa maamuzi mipira ya pembeni wewe Refa hujaona kwanini uamue Kona.
Line 1 kakimbia mpaka kamaliza Chak, yupo kwenye kibendela unawezaje ku mbishia wewe center refa ree na Ile ni kazi yake.
Basi kuondoa utata kamfate umuulize line wako ndivyo wenzake wanavyo fanya kote.
 
Dakika za nyongeza huwa hazina nyongeza Pimbi wewe.
Dakika za nyongeza zinatumika kufidia ule muda ambapo mpira ulisimama.

Katika hizo dakika za nyongeza ikitokea scenario yeyote ya mpira kusimama lazima zifidiwe.

Ndio sheria hiyo

Japokuwa sheria hiyo inaweza kuleta matokeo yatayokuumiza lakini ndio imewekwa hivyo.

Hata kama unaona marefa wana ignore hizo moment ambazo mpira ulisimama wakati wa dakika za nyongeza haina maana wapo sahihi.
 
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO9OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO DK ZA JIONI .....BALEEKEEEE ANAPATA BAO






Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kip[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]




Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]

Taabu ipo pale pale
Njoo tena wee Malaya wa kiume, na ntakutia na dildooo,
Mamaeee zakoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo ubwekee tena mbwa kokoo wee.
 
Kama line 1 anasema Gool kick ambaye ndiye anatoa maamuzi mipira ya pembeni wewe Refa hujaona kwanini uamue Kona.
Line 1 kakimbia mpaka kamaliza Chak, yupo kwenye kibendela unawezaje ku mbishia wewe center refa ree na Ile ni kazi yake.
Basi kuondoa utata kamfate umuulize line wako ndivyo wenzake wanavyo fanya kote.
Mkuu Simba imeshinda, kunywa maji baridi ukae chini tuliza akili halafu jiulize malalamiko yako yanasaidia nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!

Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!

Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
Tuliaaa weweeee.
 
Dakika za nyongeza zinatumika kufidia ule muda ambapo mpira ulisimama.

Katika hizo dakika za nyongeza ikitokea scenario yeyote ya mpira kusimama lazima zifidiwe.

Ndio sheria hiyo

Japokuwa sheria hiyo inaweza kuleta matokeo yatayokuumiza lakini ndio imewekwa hivyo.

Hata kama unaona marefa wana ignore hizo moment ambazo mpira ulisimama wakati wa dakika za nyongeza haina maana wapo sahihi.
Marefa wa huku kwetu hawazingatii,ila baadhi za nchi za ulaya hata extra time ukipoteza mda dk zinahesabiwa ulizopoteza ndo maana siku hizi unaona dk zimeongezwa 5 unashangaa livescore zimefika hata dk 12.

Hizi sheria ziliapply sana world cup na euro national qualifications pia.

Lakini cha kushangaza sana wanaolalamika humu wao wanapofaidika na hiyo situation ni sawa,kwa wengine wanabebwa.

Lakini hii mechi ya leo imeongezwa dk 6 au 8? Mbona mi niliona dk 8 au niliangalia kibao cha kumwingiza mchezaji imeandikwa namba 8?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsaaaanteeeee!!!

Muambie yule dogo wa tujikumbushe, kuna tusi alitoa ktk comment angu.

Keshoo ntamuonesha kuwa matusi sijifunzii, nimezaliwa nayooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni nani huyo Hana adabu mreport Moderator Cookie watampa banned yake takatifu
 
Back
Top Bottom