cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Naona sahiv unakamua mafuta, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apr kanipigia wapi!?..Mimi mnyaturu wa kulima alizeti
Mamaee zakooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona sahiv unakamua mafuta, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apr kanipigia wapi!?..Mimi mnyaturu wa kulima alizeti
Ameashamalizaaa kitambooo tyuuuuh.Refaaaaaaaaaa maliza mpira
Sawa mkuu,basi usiwe na hasira, vipi mlifika salama Dar? baharini mawimbi yalikuwepo?Mimi silalamiki ila kunaupotoshaji ulitaka kutokea nikawa na usahihisha.
Simba wameshinda na wamefurahi Mimi ni nani ata nikasirike.
Bwekaaaa tenaa wee malayaa mchafuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Guvu moya
Mi sijaangalia kipindi cha pili choteMarefa wa huku kwetu hawazingatii,ila baadhi za nchi za ulaya hata extra time ukipoteza mda dk zinahesabiwa ulizopoteza ndo maana siku hizi unaona dk zimeongezwa 5 unashangaa livescore zimefika hata dk 12.
Hizi sheria ziliapply sana world cup na euro national qualifications pia.
Lakini cha kushangaza sana wanaolalamika humu wao wanapofaidika na hiyo situation ni sawa,kwa wengine wanabebwa.
Lakini hii mechi ya leo imeongezwa dk 6 au 8? Mbona mi niliona dk 8 au niliangalia kibao cha kumwingiza mchezaji imeandikwa namba 8?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata tungewafunga singida goli nyingi wangesema tumebebwa au singida hawana kiwango,hawa hawana akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nim report kwa moderators? Akat me mwenyewee naweza kum mudu? Wee ntamfurahishaaa mbna.
🤣😂😁😁 Mpige spana huyooo pigaa huyoooo mpaka awe na adabuNim report kwa moderators? Akat me mwenyewee naweza kum mudu? Wee ntamfurahishaaa mbna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dk ziliongezwa 8, mi nilitoka dk ya 6 niliona hatusawazishi niliposikia kelele nikarudi, ila dk zilikuwa 8.Mi sijaangalia kipindi cha pili chote
Yaan huwa unajistukiaaa haswaaa.Hongereni [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16]
🤣😂😁Yanga tumewakula matakle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alijua kunikeraaa, nkasema tusishinde hii gamee[emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16] Mpige spana huyooo pigaa huyoooo mpaka awe na adabu
🤣😁😁😁Napenda sana mpira ndo maana najiamini wanao kimbia wengi ni mashabiki maandaziYaan huwa unajistukiaaa haswaaa.
Kwan huwa unaogopaga nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzio wotee wamepoteanaaaa.
Kwa hiyo ikiwa mipira ya pembeni tu, basi refa wa kati anatakiwa kufumba macho ili asubiri mshika kibendera aaamue? Au na yeye hufuatilia?Kama line 1 anasema Gool kick ambaye ndiye anatoa maamuzi mipira ya pembeni wewe Refa hujaona kwanini uamue Kona.
Line 1 kakimbia mpaka kamaliza Chak, yupo kwenye kibendela unawezaje ku mbishia wewe center refa ree na Ile ni kazi yake.
Basi kuondoa utata kamfate umuulize line wako ndivyo wenzake wanavyo fanya kote.
Tangu lini ukauzungumzia mpira bila kuwa biased? Ule mpira uliguswa na hata kipa wa Singida alilijua hilo ndiomaana akawa anakomaa kuudaka ule mpira licha ya kwamba haukuwa unaelekea golini na tayari umetoka. Kipa alikuwa anajaribu kuokoa kona isitokee.Nenda u tube uka hakiki hakuna mchezaji yoyote wa Singida aliye ugusa mpira wakati unatoka miguuni kwa Saidoo ili iwe Kona.
Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Soccer letu kivyetu vyetu.
Huyo Sanga ndiye mwenye akili zako? Mwambie akurudishie ili uje hapa na hoja za kueleweka.View attachment 2867887
Wenye akili wanajua kilichofanyika ni upuuzi..
Hivi mpira haukuguswa halafu yule kipa akimbilie kuudaka wakati mda wote alikuwa bingwa wa kupoteza mda.Tangu lini ukauzungumzia mpira bila kuwa biased? Ule mpira uliguswa na hata kipa wa Singida alilijua hilo ndiomaana akawa anakomaa kuudaka ule mpira licha ya kwamba haukuwa unaelekea golini na tayari umetoka. Kipa alikuwa anajaribu kuokoa kona isitokee.
Nyie lalamikieni dakika tu, kitu ambacho pia bado hakina mashiko.
Ilikua ni ndani ya muda wa nyongeza zikiwa zimebaki sekunde kadhaa muda huyo kuisha.