OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sio kwamba hawa watu hawatajui hayo, wanajua sanaNdani ya dakika sita za nyongeza faulo zilifanyika mbili wachezaji wa Singida FG walijilaza uwanjani hadi refarii anaita madaktari wachezaji wa Singida wakawa wanakataa daktari asiingie kwasababu wanajua daktari akiingia lazima mchezaji atoke nje kwanza ndiyo aingie...