FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Dakika za nyiongeza zinaweza kuongezeka lakini hazitakiwi kupungua. Anaweza kuongeza dakika nne ila zikachezwa dakika saba, hazipaswi kupungua hizo nne tu.
kumbe ndo nimefahamu leo kwamba waweza ongeza nne,zikachezwa hata dk sabini cha muhimu zisipungue tu
 
kumbe ndo nimefahamu leo kwamba waweza ongeza nne,zikachezwa hata dk sabini cha muhimu zisipungue tu
Km zimeongezwa dakika 6 halafu wachezaji wamejilaza wanapoteza Muda refarii unataka afanyeje km sio kuongeza dakika
 
kwamba dakika za nyongeza nazo zina dakika za nyongeza pia ko
Km umeongeza dakika mbili yaani mpira umalizike dakika ya 92 but kuanzia hiyo dakika ya 90 kufika dakika ya 92 wachezaji wamejilaza waki act wameumia ili kupoteza Muda,, ww km refarii utafanyeje?
 
Km umeongeza dakika mbili yaani mpira umalizike dakika ya 92 but kuanzia hiyo dakika ya 90 kufika dakika ya 92 wachezaji wamejilaza waki act wameumia ili kupoteza Muda,, ww km refarii utafanyeje?
namaliza mpira
 
Ule mpira haukuguswa. Kwa kuuangalia kawaida hzukuguswa, na hata marudi ya picha za video yanaonyesha hivyo.
Kikubwa ni kwamba hata kwa uangaliaji wa kawaida hata uwe mbali ule mpira hauna utata kwamba haukuguswa na mchezaji wa Singida
Kila mtu abaki na anacho kiamini, anayefurahi afurahie na anaeumia aendelee kuumia.
 
namaliza mpira
Kule Morocco kwenye mechi kati ya Simba Sc na Wydad AC, zilivyoongezwa dakika 6 Simba Sc alikuja kufungwa goli dakika ya ngapi?

Hakuna point ambazo Simba Sc alikuwa anazihitaji kama zile, tulivyolalamika humu mlisemaje?
 
kumbe ndo nimefahamu leo kwamba waweza ongeza nne,zikachezwa hata dk sabini cha muhimu zisipungue tu
Kama hilo umelijua leo, bila shaka mpira umeanza kuufatilia kwenye mechi za mapinduzi.
 
kumbe ndo nimefahamu leo kwamba waweza ongeza nne,zikachezwa hata dk sabini cha muhimu zisipungue tu
Ni kwamba una kichwa kigumu au ni ushabiki wa timu? Kama zimeongezwa dakika sita, ndani ya hizo dakika sita za nyiongeza timu moja ikawa inapoteza muda mwamuzi anaweza kuongoza muda wa kufidia hizo dakika za nyiongeza. Sasa kama dakika ziliongezwa dakika sabini basi zitaongezwa hizo sabini pia kufidia.
 
Km umeongeza dakika mbili yaani mpira umalizike dakika ya 92 but kuanzia hiyo dakika ya 90 kufika dakika ya 92 wachezaji wamejilaza waki act wameumia ili kupoteza Muda,, ww km refarii utafanyeje?
Ilifikia hatua mchezaji wa Singida anajilaza kaumia refa anaruhusu dkt aingie uwanjani, wachezaji wa singida wanampa ishara dkt asiingie na alipoingia wakamlaumu kwanini akingia uwanjani

Wachezaji wa Singida wajilaumu wenyewe kwa utoto wao walikua na uwezo wa kumaliza game kwa style ileile waliyoanza nayo toka walipopata goli
 
Ilifikia hatua mchezaji wa Singida anajilaza kaumia refa anaruhusu dkt aingie uwanjani, wachezaji wa singida wanampa ishara dkt asiingie na alipoingia wakamlaumu kwanini akingia uwanjani

Wachezaji wa Singida wajilaumu wenyewe kwa utoto wao walikua na uwezo wa kumaliza game kwa style ileile waliyoanza nayo toka walipopata goli
refa ndio alaumiwe alikuwa na mapungufu mengi kuliko hao singida
 
Refa analeta siasa badala ya kumaliza mpira. Dakika sita za nyongeza goli linafungwa dakika ya 8 ya ngongeza.

1704959700275.png
 
Hivi si ndo hawa Yang'a walipewa dkk 9 mpk goli la pili likafungwa au sio hawa...
Kaeni kwa kutulia dawa iwaingie
Uchungu mlionao mwende leba tuu aisee..
 
Mimi ninachoshangaa kumbe Tz tuna watu wengi sana wajinga hasa linapokuja suala la mpira... Yani mtu anashangaa kwa nini ile ilikuwa kona, wakati mchezaji wa Singida ali deflect ule mpira kabla ya kipa kuudaka nje ya mstari ndio maana ikawa kona.
Dakika za nyongeza hata zikiwa 2, refa anauwezo wakuchezesha mpaka dakika za ziada ikiwa tu kulikuwa na upotevu wa muda...

Mfano hii mechi ya juzi Inter vs Verona, dakika ziliongezwa 5 lakini mechi ilienda mpaka dakika 100.


View: https://youtu.be/GVZW1X6_p1Y
 
Mimi ninachoshangaa kumbe Tz tuna watu wengi sana wajinga hasa linapokuja suala la mpira... Yani mtu anashangaa kwa nini ile ilikuwa kona, wakati mchezaji wa Singida ali deflect ule mpira kabla ya kipa kuudaka nje ya mstari ndio maana ikawa kona.
Dakika za nyongeza hata zikiwa 2, refa anauwezo wakuchezesha mpaka dakika za ziada ikiwa tu kulikuwa na upotevu wa muda...

Mfano hii mechi ya juzi Inter vs Verona, dakika ziliongezwa 5 lakini mechi ilienda mpaka dakika 100.


View: https://youtu.be/GVZW1X6_p1Y

Yanga tutawakula sana mpaka akili iwakae sawa....
 
Back
Top Bottom