mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Mkuu uwe unatukana aliyekutuma acha mhemuko umeanza jana kushangalia mpira?Maajabu ni yapi hapo? Mtumie akili basi kujadili. Dk 6 ni za kucheza sio za kujilaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uwe unatukana aliyekutuma acha mhemuko umeanza jana kushangalia mpira?Maajabu ni yapi hapo? Mtumie akili basi kujadili. Dk 6 ni za kucheza sio za kujilaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muongezeni bahasha nyingine refa...ile kazi ilikuwa ngumu
😂😂Aah Aisee nimesusa kama APR kufungwa dak ya 90 inauma sana😂 😂 Nabado mtalala na viatu leo Uto wahed 😁 😁
Nakusisitiza tumia akili. Kama hujui mpira jifunze kuhusu dakika za nyongezaMkuu uwe unatukana aliyekutuma acha mhemuko umeanza jana kushangalia mpira?
Nakusisitiza tumia akili. Kama hujui mpira jifunze kuhusu dakika za nyongeza
Wewe unaejua mpira upo mtaani hata huhusiki popote na mpira povu tu linakutoka unahisi hapo umetumia akili?Nakusisitiza tumia akili. Kama hujui mpira jifunze kuhusu dakika za nyongeza
Anatoa povu kwa madai anaujua mpiraTatizo sio dakika za nyongeza bali kona iliyozaa goli haikuwa kona ya khalali.. mpira kipa aliudakia nje na mshika kibendera alionyesha
Nimemjibu alichochangia. Mchango wako umsaidie pia kwenye lalamiko la dakikaTatizo sio dakika za nyongeza bali kona iliyozaa goli haikuwa kona ya khalali.. mpira kipa aliudakia nje na mshika kibendera alionyesha..
Acheni upenzi na [emoji881] kwenye ukweli tuseme timu zote mbili zilizoingia fainal ya Mapinduzi Cup zimebebwa full stop
Watu pia wanajizima data.... Wanauliza pia dakika 98 zilifika vip ingawa ziliongezwa dakika 6.
Refa alivoamuru kona wachezaji wa Singida walimzonga refarii kwa Muda mrefu. Na pia simba walivofunga goli walienda kushangilia na kupelekeana dakika kuzidi kupitiliza 98
Kipa alienda kudaka mpira uliotoka nje ili iweje?
Nimemjibu alichochangia. Mchango wako umsaidie pia kwenye lalamiko la dakika
Hahahaaa. LolMtaniiii!!
Naomba ruhusa nkachekee chooni, tafadhari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wqlimzonga refa baada ya Kona au kabla ya Kona?Kwa sababu haikuwa kona ilikuwa ni goal kick ndio maana walimzonga mwamuzi ilikhali mshika kibendera pia alionyesha sio kona ile…
Hv mpira mnaangalia na undunye ama
Wqlimzonga refa baada ya Kona au kabla ya Kona?
Kumbe shida ni ile kona? Sawa tumeelewa.Tatizo sio dakika za nyongeza bali kona iliyozaa goli haikuwa kona ya khalali.. mpira kipa aliudakia nje na mshika kibendera alionyesha..
Acheni upenzi na [emoji881] kwenye ukweli tuseme timu zote mbili zilizoingia fainal ya Mapinduzi Cup zimebebwa full stop
Kipa alienda kudaka mpira uliotoka lengo lilikua ni nini?Kwa sababu haikuwa kona ilikuwa ni goal kick ndio maana walimzonga mwamuzi ilikhali mshika kibendera pia alionyesha sio kona ile…
Hv mpira mnaangalia na undunye ama
Hilo linawezekana pia. Lakini kwangu mimi naona mipira yote ya Simba pale mbele ikifika kwa Saidoo inafia kwake. Maajabu kwangu hata benchi la ufundi halioni huo udhaifu wa Saidoo anacheza mwanzo mwisho. Natamani kujua Saidoo anatumia kitu gani kulipumbaza benchi la ufundi na mbaya zaidi mpaka viongozi nao wapo kwenye mkumbo wa kumuongezea mkataba wake unaoelekea ukingoni badala ya kutafuta mchezaji mwingine mahiri wa kuiongeza nguvu na ubunifu safu ya ushambuliaji wa Simba.Huyu babu ana gundu na nuksiii. Hafaiiii
😂😂Ila watu alikuwa ktk kutekeleza majukumu mkuu wakati anafuata tayari kulikuwa na mchezaji wa simba yupo karibu huenda angeleta madhara you never know, bahati mbaya anaufikia ukiwa umetokaKipa alienda kudaka mpira uliotoka lengo lilikua ni nini?
Huwa hakuna muda wa nyongeza baada ya muda wa nyongezaWatu pia wanajizima data.... Wanauliza pia dakika 98 zilifika vip ingawa ziliongezwa dakika 6.
Refa alivoamuru kona wachezaji wa Singida walimzonga refarii kwa Muda mrefu. Na pia simba walivofunga goli walienda kushangilia na kupelekeana dakika kuzidi kupitiliza 98
Kipa alienda kudaka mpira uliotoka nje ili iweje?
Nani kakuambia?? Sikiongezwa 4 maanake mpira uchezwe dakika 4. Mlale, mgaragare refa anaangalia muda mpira uliochezwa haangalii dakika zimefika ngapiHuwa hakuna muda wa nyongeza baada ya muda wa nyongeza
Vp km zimeongezwa dakika mbili na hizo dakika mbili zimepotea bila kuchezewa kwa sababu wachezaji wanalala lala waki act wameumia... Hapo vp refarii atamaliza tu mpira si ndio? Niambie kwa hiyo scenario refarii atafanyaje?Huwa hakuna muda wa nyongeza baada ya muda wa nyongeza