PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kwa position ya Saido, na jinsi alivyoupiga basi kama ungeguswa ule mpira usingeenda straight, either ungebabatiza mguu na kurudi ndani au kutoka nje na kuwa wa kurushwa au ungepaa juu na kuwa kona.Mkuu angalia vizuri wakati Saido anapiga mchezaji wa Singida aligusa ule mpira ndio maana kipa aliamua kukomaa japo ulikuwa una uelekeo wa kutoka
Kamwe usingeenda straight vile, hata refa angekuwa mbali vipi, lile siyo jambo la kukanganya.