uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Kennedy anatafuta bench kwa juhudi zake mwenyeweBeki za Simba umeziona lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kennedy anatafuta bench kwa juhudi zake mwenyeweBeki za Simba umeziona lakini?
Bwa. Kennedy anatoa pasi IQ ikiwa low sanaTumefungwaje hapo??
Endelea kujiongopea.Hii game tunashinda 2-1
Singida anakufa.
Wamezingua sanaKennedy anatafuta bench kwa juhudi zake mwenyewe
Kuna jamaa alisema humu kwamba simba ikicheza na timu inayokimbia na kushambulia wanapata wakati mgumu mno Leo nimeamini, wachezaji wengi wa Simba mpira wao laini sana
Kwani SBS hawajui kutulia ili nao washinde?Simba sc akitulia game hii anashinda
Rupiah anawatanguliza Nani?Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024.
Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali.
Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege?
View attachment 2867638- Onyango na Habibu Kiyombo wametolewa kikosini
Kikosi cha Simba kinachoanza
View attachment 2867641
Kikosi cha Singida FG kinachoanza
- Mpira Umeanza
- Singida wameanza kwa kushambulia kwa kasi
- Goool Rupia anawatanguliza Simba
Wametukosa tena.Wamezingua sana