FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Hadi refa katimiza alichokitaka
Yanga mlipofunga dakika ya 49 wakati hakukuwa na kipindi chochote ambapo mpira ulisimama ulichekelea eh? Leo wachezaji wa SFG walikuwa wanajiangusha na kujidai kuumia na kupoteza muda mwingi!! Ni uto tu ambaye hakuwa analiona hili!!
 
Yanga mlipofunga dakika ya 49 wakati hakukuwa na kipindi chochote ambapo mpira ulisimama ulichekelea eh? Leo wachezaji wa SFG walikuwa wanajiangusha na kujidai kuumia na kupoteza muda mwingi!! Ni uto tu ambaye hakuwa analiona hili!!
Hasira zako zinaanzia hapa
FB_IMG_1704918935788.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867830
Mkuu angalia vizuri wakati Saido anapiga mchezaji wa Singida aligusa ule mpira ndio maana kipa aliamua kukomaa japo ulikuwa una uelekeo wa kutoka
 
Dakika za nyongeza huo haziongezwi hata sekunde, angalieni mechi ya fainali Super Cup Kati ya Memolodi Sundowns na wale Waarabu iliyochezwa South Africa Mamelodi walifanya nini dakika za nyongeza wakati wanaongoza Kwa goli moja, msijifyatuwe akili.

Mwaka ujao Yanga Queens ndio watapelekwa kwenye hilo Bonanza la Mapinduzi, APR ndio hata msiangaike kuwaalika.
 
Mkuu angalia vizuri wakati Saido anapiga mchezaji wa Singida aligusa ule mpira ndio maana kipa aliamua kukomaa japo ulikuwa una uelekeo wa kutoka
Nenda u tube uka hakiki hakuna mchezaji yoyote wa Singida aliye ugusa mpira wakati unatoka miguuni kwa Saidoo ili iwe Kona.
Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Soccer letu kivyetu vyetu.
 
Nenda u tube uka hakiki hakuna mchezaji yoyote wa Singida aliye ugusa mpira wakati unatoka miguuni kwa Saidoo ili iwe Kona.
Yale ni Mapenzi ya refa na Wala hakukosea ila alikusudia.
Soccer letu kivyetu vyetu.
Mpira usingeguswa kipa asingehangaika nao kwenda kuudakia nje
 
Back
Top Bottom