FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

Kwani hujui mie ni Uto?

Nilizikumbuka kwa sababu mie ni mjinga na ni Uto og.

Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.
Mbona unajistukia kama unakata Gogo nje na kwa hali mliyokuwa nayo unahaki kuwakataa Kolo FC.

Uzuri JF unatunza risiti au hii Comment mtoto alichezea simu au uliandikiwa.

Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.

Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.

Kwa hiyo kwa mujibu wa Comment yako wewe ni Mjinga,maana Sita umezikumbuka ila tano huzikumbuki.
 
Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.

Tuendelee kukumbushans yaliyopita mjinga mwenzangu.
So kwa hii Comment yako ya hapo chini unakiri mwenyewe wewe ni MJINGA.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.

Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
 
Mzize Leo Kakiwasha Kama Musonda Game Ya Mwisho Na Mamelod.

Huyu Jamaa Mzize Tetesi Za Kuanza Kuwindwa Na Vilabu Vya Nje Imemuongezea Spirit Sana.

Mzize Namuona Mbali Akiendelea Hivi[emoji91][emoji91][emoji91]
Tunataka atulie ivyoivyo aache mapepe maana leo black n' white([emoji460])limetii miguuni mwake
 
Nkane anapaswa aongeze mbio ili awe kama Uncle Enjoy ball(Ngassa)
 
Yes sisi ni wajinga na ndio maana tunakumbushana yaliyopita, tuendelee tu na ujinga wetu.
Tuendelee kukumbushana yaliyopita mjinga mwenzangu.
Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.

Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
 
Yanga hamna Warembo!? Mimi umeshawahi kuniona?
Hapa jf warembo wote ni Yanga Mahondaw, Lamomy Shadeeya
Halafu mashabiki wa Simba ndio mna Cocastic🤣
Kwamba coca sio pis kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…