Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aziz na Ile misuli kwenye miguu kuuamia ni nadraa sanaGamondi Aziz k akiumia hizi dakika utatueleza Nini wananchi? Mtoe game ishaisha hii
Labda Real Madrid au Man City walete offer lasivyo haondoki huyu.Engineer pambana sana huyu kiumbe asiondoke Yanga tafadhali
View attachment 2963616
Hahahahaha ! Mwasibu apigwe mpaka akiri kuwa yeye ni tapeli..
Usinenepe kuwa wa kawaida utachukiza, utakuwa bonge nyanya ushindwe kushangilia kwa kuruka sarakasi 🤸♀️Ndio maana nanenepa hovyoo, Kumbe ni raha za kua Mwananchi💚💛🤸♀️
Najitahidi kumaintain😎Usinenepe kuwa wa kawaida utachukiza, utakuwa bonge nyanya ushindwe kushangilia kwa kuruka sarakasi 🤸♀️
Prediction: First half hiyo tar 20 April, Yanga ina uwezo wa kuifunga Simba more than 4 goals, na hadi kipindi cha pili around 75 mins magoli 6 ni uhakika na Simba wataleta vurugu na red cards zitatolewa, refa atapigwa na baadhi ya Simba players ngumi ya pua na sikio ataanguka chini, alafu red cards kibao, wachezaji wa Simba watakimbia uwanja, vurugu zitaanza mechi itaishia hapo..Hili hata mi naliona sana kipindi Cha pili Simba hawatarejea uwanjani nadhani tutumie technique kipindi Cha kwanza tuwale 3 ili warudi ndio tuweke 5
Maintain ubonge tuwaachie mashangazi bana 🤠🤠🤠!Najitahidi kumaintain😎
Cha muhimu mashine iwe inapita,vingine mbwembwe tuUsinenepe kuwa wa kawaida utachukiza, utakuwa bonge nyanya ushindwe kushangilia kwa kuruka sarakasi 🤸♀️
Na ile iliyokula tano moja ni ya nani.Hawajawahi lipa goli za Ihefu ya Mbarali, ile timu walioipiga 5 ni Singida ya Nchemba na sio Ihefu ya Mbarali.
Edit mkuu Kuna namna umechanganya mamboFirst half hiyo tar 20 April, Yanga ina uwezo wa kuifunga Yanga more than 4 goals, na hadi kipindi cha pili around 75 mins magoli 6 ni uhakika na Simba wataleta vurugu na red cards zitatolewa, refa atapigwa baadhi ya Simba players ngumi ya pua na sikio ataanguka chini, alafu cards red kibao, wachezaji wa Simba watakimbia uwanja, vurugu zitaanza mechi itaishia hapo..
Nimepokea ushauri🤸♀️Maintain ubonge tuwaachie mashangazi bana 🤠🤠🤠!