MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ikitokea mmefungwa kakaBy the way, Simba tunahitaji Droo yoyote ile turejee kwenye usukani wa ligi.
Kwa upande mwingine, tunajua na kila mtu anajua SFG lazima afe.
Hivi ni kwanini Kila Mnyama Simba akicheza timu pinzani zinaahidiwa pesa kama zawadi ya ushindi ?Yes, tunajua leo tunacheza ya yanga iliyo jificha kwa kivuli cha singinda fountain gate ukweli ni kwamba iyo million 100 ya GSM aliyo waahidi leo mtaitapika.
sanaHivi ni kwanini Kila Mnyama Simba akicheza timu pinzani zinaahidiwa pesa kama zawadi ya ushindi ?
Hadi Azam ya Chamazi. KMC, Prisoni, Ndanda na wengine.
Kuna nini Simba.
Kweli somo nakumbuka tumeanza kuishabikia singida tangu enzi zile sekenke hakuna lamiWala sihitaji kuwa mnafiki. Leo niko upande wa Singida Fountain Gate.
Uhitaji kutangaza inajulikana...Wala sihitaji kuwa mnafiki. Leo niko upande wa Singida Fountain Gate.
Na miye nimoWala sihitaji kuwa mnafiki. Leo niko upande wa Singida Fountain Gate.
Mbarali nasikia hawajaufuta ule ubao unaoonesha wao 2 nyie 1.Na miye nimo