Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu ni mshambuliaji TEGEMEZI na sio TEGEMEOEti John Bocco ndio mshambuliaji tegemezi pale Simba na ndio wanamtegemea awapeleke semi final cafcl[emoji23][emoji23]
Hivi mnadhania Nusu fainal ya Caf ni ndondo cup eeh?
Amezidieawa na uwezo na NgomaBruno gomes ni mchezaji hewa ndani ya kikosi Cha Singida big stars.
Pole sanaHiki game simba anapigwa kimoja au droo inawahusu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hiki game simba anapigwa kimoja au droo inawahusu.
Chomoa mwiko huo mkuuhawa simba wamekua wapumbavu wapumbavu tu kagoli kamoja wamebaki kujilaza
mzamiru,bocco,babu saidol ni kujilaza tu
Mzamiru yuko Chini
Simba ni timu ndogo, mentality ya timu ndogo huwa ni kupoteza muda baada ya kupata golihawa simba wamekua wapumbavu wapumbavu tu kagoli kamoja wamebaki kujilaza
mzamiru,bocco,babu saidol ni kujilaza tu
Naam kipindi cha kwanza kimekamilika Singida 0:1 Simba
timu inaruka ruka inabaki kujilaza tuChomoa mwiko huo mkuu