Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za muhind zipigwe vzrSimba wajiangalie Sana msimu huu bado maumivu hayatawaacha
Mtatoboa mkuu,mnaitaji kisu tu na panga Ili kutoboaSasa Sijui kama tutatoboa Ligi ya mabingwa CACFL
Hakuna utofauti Juzi pia si tulicheza hivi hivi kwa mzambia au tumesahau jaman huu ni ujinga kila siku tunajitia moyo kama Watoto wa Kuku wanaambiwa kunyonya kwa mama yao.....CAFCL na hii ni tofauti sana
Wewe Robertihno ni kocha la dunia,haendi popoteHakuna utofauti Juzi pia si tulicheza hivi hivi kwa mzambia au tumesahau jaman huu ni ujinga kila siku tunajitia moyo kama Watoto wa Kuku wanaambiwa kunyonya kwa mama yao.....
Bhna robetinho aende zake bhna
Hapo ndipo mashabiki huwa hatumwelewi huyu kocha!! Unamtoaje Chama muda mfupi tu baada ya goli kusawazishwa? Chama ana uwezo binafsi unaoweza kubadili matokea muda wowote, na ni mpiganaji asiyechoka wala kukata tamaa!! Tukubali tusikubali hapa hatuna kocha!! Viongozi wanatumia hekima tu kumsemea vizuri maana bado ni kocha wetu!!Chama nje
[emoji28]Wewe Robertihno ni kocha la dunia,haendi popote
Heri Singida ameshiriki, Ihefu hana hata lengo la kushirikihata singida katolewa raund za awali shirikisho ila anakupelekesha hadi unaomba poo
iyo robo yako inakusaidia nini che malon
Haya ndo matokeo mkuu ndo FT ingekuwa ulaya ningekuambia Bado mda upo ila kwa Bongo hatuna pumzi hiyoGame On..
Dakika ya 74'
Singida Fountain Gate 1 - 1 Simba Sc
Kitendo Tu cha chama kua uwanjani faida Kwa SimbaHapo ndipo mashabiki huwa hatumwelewi huyu kocha!! Unamtoaje Chama muda mfupi tu baada ya goli kusawazishwa? Chama ana uwezo binafsi unaoweza kubadili matokea muda wowote, na ni mpiganaji asiyechoka wala kukata tamaa!! Tukubali tusikubali hapa hatuna kocha!! Viongozi wanatumia hekima tu kumsemea vizuri maana bado ni kocha wetu!!
Tuna wazee wetu pale simba tutawatuma waende wakaongee maana huu ni upuuziWewe Robertihno ni kocha la dunia,haendi popote