Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchawiDaah simba ni mbov san kwa kwel
Walitaka kututoa maini na figo Mkuu [emoji3][emoji3]Nyamizi[emoji1]
Dr mchawiKiko wapi Ni wasi Simba atadondosha alama tatu hapa liti
Bibi wa Yanga Asante kwa kuipongeza Simba.Hongera simba.
TunawasikiliziaGap la Point 3 kwa 2 Kileleni.
Bado tuna muda wa kuvimba sana hapo kileleni.
SawaNaitwa Dotto kutoka Nyakanazi. Naitakia Singida FG ushindi wa goli 2-1. Ujumbe, Kija Maduhu mbona kimya?
Kocha hatufukuzi,hata wewe kwa maisha yako binafsi kuna mahali huwa unafail piaNarudia tena, Simba hii haina program za mazoezi. Wanajikusanya na kucheza tu. Simba leo timu ya kupoteza muda kweli??[emoji30][emoji30]. Fukuzeni Kocha huyo.
Mbona mnafosi timu yenu ialikwe, mmewatumia mpaka kina Katia na mwanafa kuomba nafasi Ila utaratibu ni uleule mnatakiwa kuonyesha ubora mfululizo na sio kubahatisha Mara moja.Na watajuta kweli. Wangeialika Yanga, muda huu wangekuwa wanasubiria tu kuona pira burudani, badala ya pira papatu papatu.
UongoooHii Simba ya Robertinho ndiyo Simba mbovu kuliko zote ukitoa ile ya 1989. Timu haina kasi, haijui kujipanga, haifunguki, haikabi, wachezaji hawana skills kabisa. Hilo benchi la ufundi liondoke kabisa.
KweliKocha hatufukuzi,hata wewe kwa maisha yako binafsi kuna mahali huwa unafail pia
Mwili wake unaruhusuKibu anacheza sana faulu
Ungejua presha niliyokuwa nayo we acha tu.Vp limerudi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utafariki kwa yasiyokuhusu mkuu