Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mamadou naona msimu huu amerudi akiwa na ndevuKazi ya kufunga kwa Yanga ni ya kila mchezaji. Leo mchezaji aliyeombwa msamaha anadhihirisha kuwa alistahili kuombwa msamaha maana bila yeye timu ina struggle haswa.