Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Wamama mnaofundisha kiswahili mnapekua sana,hiyo ni typing error,lingine??Hata kuandika tu ni shida!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamama mnaofundisha kiswahili mnapekua sana,hiyo ni typing error,lingine??Hata kuandika tu ni shida!
Vipi kwa Doumbia na Konkoni haikusemwa hivi hivi?Hata kwa Pacone ilisemwa hivi hivi
Kuna wanaume wanacheza. Kitulize kwanza na stori za UtoHata kwa Pacone ilisemwa hivi hivi
Dah! Ingekua tu palepale kwenye Pitch ya Azam FC.Azam tunampasua kirahisi sana mtego wa ratiba tuliomuwekea ameingia mazima
Mechi inachezwa CCM Kirumba, Mwanza
Baya limeshawakuta.Lolote baya liwakute makolo kwinyo.
😀😀Kweli leo ni Aden vs Rage
Kwa usahaulifu mpo vizuri, juzi tu mmetoka kutoka mapovu kwa kupelekewa moto na mashujaa ila leo mmesahau mnasema timu imerudi kwa kuangalia mechi moja ya leo.Simba imeanza kurudi Kuna timu itaanza kulalamika mda sio mrefu
Sisi ndio wenyeji wa mchezo huo hiyo unayoitaka ya kwenye pitch ya azam itakuja mzunguko wa pili wao wakiwa wenyeji wa mchezoDah! Ingekua tu palepale kwenye Pitch ya Azam FC.
Mechi itakua ngumu sana
Huyo jamaa haijulikani hata kwao, Pacome ni mbuzi kabisa aliyeuzwa Uto ukiwa ndani ya sandarusi 😬Hata kwa Pacone
Hahaha kwamba TFF inawapendeleaSimba imeanza kurudi Kuna timu itaanza kulalamika mda sio mrefu