FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

Kipimo kizuri ni tar 9,kanjibai hana helaya kuwapa azam,makolo mnaona wenyewe kua timu hamna msijifariji
 
Match Day.

Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.

Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.

Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!

KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.

KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...

=====

Mchezo umeanza
5' Kasi ya mchezo bado sio kubwa
9' Mchezo unachezwa katikati kwa muda mwingi
14' Simba wanafanya shambulizi kali, shuti la Saido linagonga nguzo na kutoka nje.
19' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mshambuliaji Pa Omary Job anaipatia Simba goli kwa njia ya kichwa
30' Simba wanamiliki mchezo muda mwingi
GOOOOOOOOO
Sadio Kanoute anaipatia Simba goli la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Shomari Kapombe.
45' Zinaongezwa dakika 2 za nyongeza
3 bila hukoooo..
 
Sasa mmesajili wa nini mtu ambaye mbali na kufunga kitu ambacho hakiwezi hana msaada mwengne wowote uwanjani.

Chama ni mwamba haswa mkuu
Kwanini unssema hana msaada wakati anaweza kupiga pasi na kukaba? Atakuwa anasaidia timu kwa majukumu mengine mengi tu.
 
My wetu leo anajifariji,sasa hii ndio timu ya kuwapa mil 42 ili iwaachie?
 
Mtani tatizo ni mechi ifuatayo ya NBC mtatoboa kweli? Naomba kukumbushwa kwanza itakuwa kiwanja gani?
Azam tunampasua kirahisi sana mtego wa ratiba tuliomuwekea ameingia mazima
Mechi inachezwa CCM Kirumba, Mwanza
 
Sasa mmesajili wa nini mtu ambaye mbali na kufunga kitu ambacho hakiwezi hana msaada mwengne wowote uwanjani.

Chama ni mwamba haswa mkuu
Kuna hawafatilii mchango wa CHAMA ...
Kuna siku mechi inamkataa, ila huyu jamaa huwa ana mchango sana mechi nyingi tu...lazima tukubali
 
Back
Top Bottom