PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hata kwa Pacone ilisemwa hivi hiviKwa gwede uto wameuziwa mbuzi kwenye sandarusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwa Pacone ilisemwa hivi hiviKwa gwede uto wameuziwa mbuzi kwenye sandarusi
PoleKwa Jobe hapa tumepigwa hamna mchezaji hapa ni kuruka ruka tu na kubahatisha
3 bila hukoooo..Match Day.
Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.
Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.
Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!
KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.
KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...
=====
Mchezo umeanza
5' Kasi ya mchezo bado sio kubwa
9' Mchezo unachezwa katikati kwa muda mwingi
14' Simba wanafanya shambulizi kali, shuti la Saido linagonga nguzo na kutoka nje.
19' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mshambuliaji Pa Omary Job anaipatia Simba goli kwa njia ya kichwa
30' Simba wanamiliki mchezo muda mwingi
GOOOOOOOOO
Sadio Kanoute anaipatia Simba goli la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Shomari Kapombe.
45' Zinaongezwa dakika 2 za nyongeza
Hata kuandika tu ni shida!Kipimo kizuri ni tar 9,kanjibai hana helaya kuwapa azam,makolo mnaona wenyewe kua timu hamna msijifariji
Kwanini unssema hana msaada wakati anaweza kupiga pasi na kukaba? Atakuwa anasaidia timu kwa majukumu mengine mengi tu.Sasa mmesajili wa nini mtu ambaye mbali na kufunga kitu ambacho hakiwezi hana msaada mwengne wowote uwanjani.
Chama ni mwamba haswa mkuu
Azam tunampasua kirahisi sana mtego wa ratiba tuliomuwekea ameingia mazimaMtani tatizo ni mechi ifuatayo ya NBC mtatoboa kweli? Naomba kukumbushwa kwanza itakuwa kiwanja gani?
Kuna hawafatilii mchango wa CHAMA ...Sasa mmesajili wa nini mtu ambaye mbali na kufunga kitu ambacho hakiwezi hana msaada mwengne wowote uwanjani.
Chama ni mwamba haswa mkuu
Hicho hicho kitonga kiliwaumbua Uto pale DomMyWetu leo mmepata kitonga naona mnatamba tu humu!!