jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mkuu seriously. Siyo tu hapa mtandaoni. Hata kitaa. Nikiwa nimekaa hakuna mtu anajuwa mimi mshabiki wa timu gani, maongezi ya washabiki wa Yanga huwa yananishangaza. Yani ni watu wa tofauti sana. Ni wale wenye tabia halısı za watanzania. Wenye kufuatilia mambo ya watu, wenye roho mbaya nk.😂😂😂
Fuatilia mkuu utagundua. Wanafuatilia Simba kuliko wana Simba wanavyowafuatilia. Saa nyingine wanajidai na wao ni Simba😀 kama yale ma ccm ambayo nayo saa nyingine yanajidai ni wapinzani eti wanatoa ushauri.
Ni wa tofauti sana kwenye hali ya kawaida ya ushabiki wa mpira wa miguu…Ni wananchi kweli wa hii nchi😀