Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Refa atatubu dhambi zake baada ya mechi.Mtu na ndugu yake wanakutana na bwana Rage keshaset mipango m.pesa ishasoma kwa refa na wachezaji msubilie makosa ya kibinadamu kutoka kwa refa
Hiyo robo fainali ya shirikisho ni ya mashindano ya kina mama .Kabisa.Ndiyo maana wapo robo fainali shirikisho.Na neno kujitafuta ndiyo linawapoteza wengi wanachezea kipigo.
Upo sahihi sana.Kuna watu walivishwa hadi vidani vya ngomani kwenye hilohilo kombe la wenye matiti mchongoko.Hiyo robo fainali ya shirikisho ni ya mashindano ya kina mama .
Watoto wa Ng'ambo na Kanyenye leo watauona moto.Watalala na viatu Lwanzari.Maji ya kunywa watanywea kwa Boga au Tukutuku aka kandiloni.Hapa hawachomoki hawa watoto
Akina nani ustaadh?Lolote liwakute
mpenzi wangu mahonda yuko wapi mkuu?
Mapumziko...mpenzi wangu mahonda yuko wapi mkuu?
nime mmisi sana.mambo yangu niachie mwenyeweMapumziko...
WoteAkina nani ustaadh?
Acha mbwembwe maalim.Nyuki wa Kigwa lazima wafungwe na mnyama leo.Wote
Na kwa tanzania yanga ni kiongozi mkuu wa hao kina mama kwa sababu alifika hadi kileleni kwa hayo mashindano ,sema alishindwa tu kubebwa ubingwa.Hiyo robo fainali ya shirikisho ni ya mashindano ya kina mama .
Kama ni kwa tuta sawaAcha mbwembwe maalim.Nyuki wa Kigwa lazima wafungwe na mnyama leo.
Ngoja tuone.Kama ni kwa tuta sawa
Benchi tu ina uwezo wa kuifunga MC Alger nje ndaniSIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Yacouba Sogne na makambo wakwapi ,Tabora tuna uchu na million 50SIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Naichukua hii mkuu,kumbe wao ndio akina mama wakubwaNa kwa tanzania yanga ni kiongozi mkuu wa hao kina mama kwa sababu alifika hadi kileleni kwa hayo mashindano ,sema alishindwa tu kubebwa ubingwa.