Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ile sio penati ila hatuikatai.umeona refa wako anacho fanya
0-2.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile sio penati ila hatuikatai.umeona refa wako anacho fanya
Unateseka ukiwa wapi ndugu 🐸?Mbeleko fc
Kwanini huwa unajihangaisha kuangalia mkuu, unataka kujiua kwa kupata kiharusi nini?mechi za hawa jamaa huwa ni za kipumbavu sana jumlisha marefa wao
nimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyeweIle sio penati ila hatuikatai.
0-2.
Huyo ni nyuma mwiko AKA malalamiko fcKwanini huwa unajihangaisha kuangalia mkuu, unataka kujiua kwa kupata kiharusi nini?
huwa naangalia nicheke upumbavu wa mechi zenuKwanini huwa unajihangaisha kuangalia mkuu, unataka kujiua kwa kupata kiharusi nini?
Kuna simba kuongoza mkuu.nimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyewe
Leteni lefa wenu utopolonimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyewe
atteba asist ya refaNiko nje ya mji nani kafunga??
Kunywa dicloparnimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyewe
Zote kapiga baunsaNiko nje ya mji nani kafunga??
Sasa usingepiga filimbiMchezaji hakuguswa kabisa.
bila msaada wa refa isinge kuwa hivyoKuna simba kuongoza mkuu.
Tabora lazima wakione cha motoChuma cha pili