Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa ndio walikuwa wanaomba ije VAR sidhani kama wangeshinda hata mechi 3 kwa uhalaliMchezaji hakuguswa kabisa.
toka kwa refaTabora lazima wakione cha moto
Wanune sana hadi midomo irefuke. Mwaka huu watashuhudia kombe likienda Msimbazi Street.Mechi hii napenda iishe mwiko nyuma wakiwa wamenuna.
Shida ni nini hapo, wewe kiwanda cha uzushi usikute hata mechi huangaliiMpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Na mfano mkubwa ulikuwa jana ktk mechi ya Uto na Kgs Sugar. Ilikuwa hamna mfano wa uhovyo wa marefa.Mpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Embu fanya kama VAR ipo halafu futa penati utupe matokeo boss.bila msaada wa refa isinge kuwa hivyo
Endelea kuangalia mechi, refa amemaliza kazi now utaona ataanza kubalance mechiShida ni nini hapo, wewe kiwanda cha uzushi usikute hata mechi huangalii
Che MALONE bado na back pass zake
refa kaona aibu kuweka iyo ya kapombeBado tunadai penalty ya moja zaidi, ili tufikie 2 za jana za Topolos
Sasa Kwan Kuna shida yoyote ya kimaamuzi ?Mpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Tuendelee kula mtori,nyama tutazikuta chiniNa mfano mkubwa ulikuwa jana ktk mechi ya Uto na Kgs Sugar. Ilikuwa hamna mfano wa uhovyo wa marefa.