Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Nna wasiwasi na sub za Kocha wetu kipindi cha pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mwenye macho anaonaKabebwa wapi?
Shekhe YahayaKipindi cha pili mechi itakuwa poa,na refa atakuwa tofauti kabisa maana tayari ameshakamilisha kazi yake,first half the do's kwa Simba ni don't kwa Tabora......sekandi hafu atakuwa refa mwingine kabisa
Uneni tu ila Point tatu zinahesabikaKila mwenye macho anaona
Kuna haja ya kupeleka waamuzi nje ya nchi wakasukwe tena, currently is why hawaitwi njeMpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Kabebwa wapi, ni vyema ukaficha chuki za kijingaKila mwenye macho anaona
Simba kaunguruma lakini utopolo hawataki. Ubaya ubwela. Mknd na shauri zao!SIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Huyu Tabora si ndio yule mbabe wa yanga?😂SIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Game On
3' Tabora 0-0 Simba
6' Simba wanapata kona, inapigwa kona na Kibu, haileti madhara yoyote kwa nyuki
12' Atebaaaaaaaaa.
anaipatia Simba goli la kuongoza.
Chuma cha kwanza.
0-1
33' Simba wanapata penalty.
Anaipiga Ateba....
Goooooooooooal
Simba wanapata goli la pili.
0-2
Sasa mbona huonekani kucheka ila unaumiahuwa naangalia nicheke upumbavu wa mechi zenu
Acheni ushabiki maandazi. Kuna makosa gani ya uamuzi hapo? Au kwakuwa usiyempenda kashinda? Hii tabia ya wabongo kujifanya much know inakera sana.Mpira wetu tunatamani usogee lakini haiwezekani ukasogea kwa namna waamuzi wanavyofanya viwanjani
Alipewa ofa ya masaa kukaa kileleni, ofa expired lazima atoke 😂Kwaiyo ndo kusema Yanga anatolewa hapo juu ya table!
Simba imecheza vizuri mno ikapata Goli safi na halali kupitia Ateba. Goli lenye utata ni goli la penati, zaidi ya hapo hakuna utata wowote wa kumlalamikia refa.Kipindi cha pili mechi itakuwa poa,na refa atakuwa tofauti kabisa maana tayari ameshakamilisha kazi yake,first half the do's kwa Simba ni don't kwa Tabora......sekandi hafu atakuwa refa mwingine kabisa
Kosa wanalofanya ni kupishana na mnyama..wamelishana ujingaHawa Tabora watulie, vinginevyo watafungwa nyingi hapa