Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Meno ya Simba mnyama yakiwa na njaa ya magoli huwa ni hatari kwenye lango la mpinzani wake.Siku zote adui yako muombee njaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meno ya Simba mnyama yakiwa na njaa ya magoli huwa ni hatari kwenye lango la mpinzani wake.Siku zote adui yako muombee njaa.
watoto: in short KOKI HAICHEZEWI 😅😅😂😂 🐻 bare in MIND.SIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Game On
3' Tabora 0-0 Simba
6' Simba wanapata kona, inapigwa kona na Kibu, haileti madhara yoyote kwa nyuki
12' Atebaaaaaaaaa.
anaipatia Simba goli la kuongoza.
Chuma cha kwanza.
0-1
33' Simba wanapata penalty.
Anaipiga Ateba....
Goooooooooooal
Simba wanapata goli la pili.
0-2
Unaumia kutokea wapi mkuu?Makolo bila refa hamna timu, na derby watakaa, yaani no contact refa kafunika penati , rafu kabla ya kupokea mpira refa kapeta Ateba akafunga, beki kacheza mpira refa kafunika faulo sehemu ya hatari, Tabora wakiondoka mshika kibendera Fatma alichoambiwa ni kuinua shuka juu tu, hii ni aibu kubwa, hawa marefa wataishia NBC premier league tu!!
Mlungula wa refa uko laivu Ally Hassan Mwinyi , mbeleko FC ni aibu kwa soka letu!!
Yacouba na Makambo injini za Tabora United msimu huu leo wamewekwa jukwaani, kweli simba bingwa wa mechi za nje ya uwanja! Ila ni mbio za sakafuni tu, Yanga bingwa tu!
Kisa Yanga kuongoza ligi, simba lazima ibebwe kila mechi ila tarehe 8 tutawakanda na kukaa kileleni bila bugudha. Yanga ina intensity hatari mnyama lazima akae kibla achinjwe!
Kawaululize, tumechoka na maswali ya kijingaKwa nini yakuba na makambo hawapo?
This is Simba brazaKwa nini yakuba na makambo hawapo?
Kama kawaida uto og niko maskani Buza Mpalanger mtani, karibu tuangalie mbeleko fcUnaumia kutokea wapi mkuu?
Hongera Sana SimbaSIKU YA MECHI KALI.
View attachment 3222089
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323
Game On
3' Tabora 0-0 Simba
6' Simba wanapata kona, inapigwa kona na Kibu, haileti madhara yoyote kwa nyuki
12' Atebaaaaaaaaa.
anaipatia Simba goli la kuongoza.
Chuma cha kwanza.
0-1
33' Simba wanapata penalty.
Anaipiga Ateba....
Goooooooooooal
Simba wanapata goli la pili.
0-2
Makambo kadi 3, Yacouba mgonjwa. Kiboko yenu Chikola yupo lakiniKwa nini yakuba na makambo hawapo?
Japo Anasumbua Ila WamembanaMakambo kadi 3, Yacouba mgonjwa. Kiboko yenu Chikola yupo lakini
Kwa sasa hivi Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote vile iwe kwa kubebwa ama kivingine,,kikubwa wengine pia wakifanya ivyo tufunge mabakuri ni undava undava yanga nadhani mnaona msicheke na nyani pigeni mbwa yeyote iwe kwa magoli ya aina yoyote ata kwa mkono refa aite kati,,nimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyewe
Penalty ina utata gani?Simba imecheza vizuri mno ikapata Goli safi na halali kupitia Ateba. Goli lenye utata ni goli la penati, zaidi ya hapo hakuna utata wowote wa kumlalamikia refa.
Anaye pinga Sio Penat huyo Ni Mjinga tyMarudio yanaonyesha ile ilikuwa ni penati halali kabisaaaaa.
Refa yupo makini.
Haina utata mkuu. Niliona vibaya. Penati halali kabisa. Refa yupo makini.Penalty ina utata gani?