FT| Tabora United FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Ali Hassan Mwinyi Stadium | 02-02-2025

FT| Tabora United FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Ali Hassan Mwinyi Stadium | 02-02-2025

SIKU YA MECHI KALI.

View attachment 3222089


MCHEZO:
Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.

VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323

Game On
3' Tabora 0-0 Simba

6' Simba wanapata kona, inapigwa kona na Kibu, haileti madhara yoyote kwa nyuki

12' Atebaaaaaaaaa.
anaipatia Simba goli la kuongoza.
Chuma cha kwanza.
0-1

33' Simba wanapata penalty.
Anaipiga Ateba....
Goooooooooooal
Simba wanapata goli la pili.
0-2
watoto: in short KOKI HAICHEZEWI 😅😅😂😂 🐻 bare in MIND.
 
Makolo bila refa hamna timu, na derby watakaa, yaani no contact refa kafunika penati , rafu kabla ya kupokea mpira refa kapeta Ateba akafunga, beki kacheza mpira refa kafunika faulo sehemu ya hatari, Tabora wakiondoka mshika kibendera Fatma alichoambiwa ni kuinua shuka juu tu, hii ni aibu kubwa, hawa marefa wataishia NBC premier league tu!!

Mlungula wa refa uko laivu Ally Hassan Mwinyi , mbeleko FC ni aibu kwa soka letu!!

Yacouba na Makambo injini za Tabora United msimu huu leo wamewekwa jukwaani, kweli simba bingwa wa mechi za nje ya uwanja! Ila ni mbio za sakafuni tu, Yanga bingwa tu!

Kisa Yanga kuongoza ligi, simba lazima ibebwe kila mechi ila tarehe 8 tutawakanda na kukaa kileleni bila bugudha. Yanga ina intensity hatari mnyama lazima akae kibla achinjwe!
Unaumia kutokea wapi mkuu?
 
SIKU YA MECHI KALI.

View attachment 3222089


MCHEZO:
Ligi Kuu Tz Bara NBC Premier League
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.

VIKOSI VYA LEO
View attachment 3222322
View attachment 3222323

Game On
3' Tabora 0-0 Simba

6' Simba wanapata kona, inapigwa kona na Kibu, haileti madhara yoyote kwa nyuki

12' Atebaaaaaaaaa.
anaipatia Simba goli la kuongoza.
Chuma cha kwanza.
0-1

33' Simba wanapata penalty.
Anaipiga Ateba....
Goooooooooooal
Simba wanapata goli la pili.
0-2
Hongera Sana Simba
 
nimekwambia tangu dk za awali hakuna refa hapa kuna upumbavu tu umejionea mwenyewe
Kwa sasa hivi Kila timu ishinde mechi zake kivyovyote vile iwe kwa kubebwa ama kivingine,,kikubwa wengine pia wakifanya ivyo tufunge mabakuri ni undava undava yanga nadhani mnaona msicheke na nyani pigeni mbwa yeyote iwe kwa magoli ya aina yoyote ata kwa mkono refa aite kati,,
 
Simba imecheza vizuri mno ikapata Goli safi na halali kupitia Ateba. Goli lenye utata ni goli la penati, zaidi ya hapo hakuna utata wowote wa kumlalamikia refa.
Penalty ina utata gani?
 
Back
Top Bottom