FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Let say Stars inashinda Leo, je kuna nafasi ya kusonga mbele? Na kama tukisonga mbele tutamtoa nani.

Kwangu Bora DRC aende akawabane waarabu wazee wakulalamika na kujiangusha. Wanabishana hadi VAR ukiwa maamuzi yanawabana wao.

Natabiri miaka kumi mbele waraabu wanaweza ishia hatuna za makundi tu, maana uamuzi utakuwa fair sana.
Inshu sio fair Tu Bali kanda zilizokua dhaifu nazo zinaanza kuamka kisoka ..
Zamani tulikua Chini kisoka Ila sahivi walau hata kufuzu AFCON sio story kubwa hata vilabu vyetu kimataifa vinafanya poa hii inampa tabu mwarabu...
Kumbuka Ile methali
Mjinga akielimika mjanja yu mashakani
 
Let say Stars inashinda Leo, je kuna nafasi ya kusonga mbele? Na kama tukisonga mbele tutamtoa nani.

Kwangu Bora DRC aende akawabane waarabu wazee wakulalamika na kujiangusha. Wanabishana hadi VAR ukiwa maamuzi yanawabana wao.

Natabiri miaka kumi mbele waraabu wanaweza ishia hatuna za makundi tu, maana uamuzi utakuwa fair sana.
Wewe una idea ya kitu kinachoitwa mpira ila hakuna unachojua. Acha vitu vitokee vyenyewe tusiletee ushabiki mfu
 
Beki na kiungo yote ingejitoa Kama huyu mwamba tusingefungika kirahisi .
 

Attachments

  • 4CA55387-D653-4BC8-A83D-A7BEC10EEAD5.jpeg
    4CA55387-D653-4BC8-A83D-A7BEC10EEAD5.jpeg
    1.5 MB · Views: 1
Let say Stars inashinda Leo, je kuna nafasi ya kusonga mbele? Na kama tukisonga mbele tutamtoa nani.

Kwangu Bora DRC aende akawabane waarabu wazee wakulalamika na kujiangusha. Wanabishana hadi VAR ukiwa maamuzi yanawabana wao.

Natabiri miaka kumi mbele waraabu wanaweza ishia hatuna za makundi tu, maana uamuzi utakuwa fair sana.
Nakazia
 
Kwakweli mpira unauma kuliko mapenzi, unaumia na unaumia tena na tena huna cha kufanya huwezi ingia uwanjani nyie haya maumivu hayaelezeki.

Ati mapenzi yanaumiza? Kwa lipi? Mpenzi akizingia na tafuta mwingine ila goli likifungwa limefungwa labda liwe limefungwa kimakosa.
 
Leo sijui nisimame na nani aisee maana Mimi ni Mtanzania mwenye asili pure Kabisa ya kikongo
 
Kwakweli mpira unauma kuliko mapenzi, unaumia na unaumia tena na tena huna cha kufanya huwezi ingia uwanjani nyie haya maumivu hayaelezeki.

Ati mapenzi yanaumiza? Kwa lipi? Mpenzi akizingia na tafuta mwingine ila goli likifungwa limefungwa labda liwe limefungwa kimakosa.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom