Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Kundi la Mali nani amepita na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida ila mkeka mpe mayeleKhaaa uzi upi ni upi?
Any way wish yangu ni ile ile kila la heri Taifa Stars....
Wakitoa draw je?😂😂Tanzania akimfunga congo mnibaqe
Wameahidiwa mkwanja wa bilioni 1.3 wakishinda, so watakamilisha ratiba ila hizo hela hawapati maana wapigwa mapema tu 😂Wakamilisha ratiba Fc
Haha watapaki zao mabegiWameahidiwa mkwanja wa bilioni 1.3 wakishinda, so watakamilisha ratiba ila hizo hela hawapati maana wapigwa mapema tu 😂
Hakuna viongozi paleNje ya mada, hivi Mangungu, Jaribu Tena na Kajula wanajua hali ya afya ya Inonga au wamebaki kutunanga wakosoaji tu? Wenzao wakisikia mchezaji wao kaumia tu wanashtuka na wanataka hata wamchukue wakamtibu. Sisi mchezaji anavuja damu kama mzoga, tupo kimyaaa, akirudi anakaa nje miezi 6 huku akijitibu
HahahahahahaSubirini kufungwa, mrudishe makomwe nchini
Wajomba zangu leo wamepaniaKikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
View attachment 2881904