Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Kigoma ikishinda Stars furaha.
Ikishinda DRC furaha
Ikishinda DRC furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae na Chupa la mafuta ya mgando maana lazima iwe hivyoTanzania akimfunga congo mnibaqe
Nimekupenda bure ungekua hujaolewa ningefanya modification ya Jina lako la ukooKwakweli mpira unauma kuliko mapenzi, unaumia na unaumia tena na tena huna cha kufanya huwezi ingia uwanjani nyie haya maumivu hayaelezeki.
Ati mapenzi yanaumiza? Kwa lipi? Mpenzi akizingia na tafuta mwingine ila goli likifungwa limefungwa labda liwe limefungwa kimakosa.
Subiri atakaefungwa ndio simama naeLeo sijui nisimame na nani aisee maana Mimi ni Mtanzania mwenye asili pure Kabisa ya kikongo
Wanasema ikishinda Stars imeshinda Simba basi km ni hivyo wafungwe tuTanzania 0-3 Congo. Chukueni hii wazee wa kubeti
Stars washindwe wenyewe kula haya mabilioni
View: https://www.instagram.com/p/C2e2E8wNUP8/?igsh=bGY3YnZrNjlnenJx
Stars wakishinda Simba wameshinda sababu eti wamevaa Logo ya Sandaland, wafungwe tuHeee, kumbe kweli.
Sasa hii hela si bora ingetumika kusaka vipaji huko mwakaleli, uwepo utaratibu wa kutengeneza na kulea hivyo vipaji ili kuwa na timu imara miaka mingi ijayo.
Inonga si majeruhi? Alipigwa mbanga ile siku1 manula
2 lusajo
3 m.hussein
4 mzee wa mashuka
5 mwamnyeto
6 novatus
7 msuva
8 mudathir
9 samatta(huyu basi tu ila)
10 morice
11 kibu D fighter[emoji16][emoji16][emoji16]
Lengo hasa ni hapo kwenye 6 na 8 tupate watu wanao idea ya kupeleka mpira mbele
Inonga baka utakua mtihani mno ila ngoja tuone
PumbavuStars wakishinda Simba wameshinda sababu eti wamevaa Logo ya Sandaland, wafungwe tu
Hata usijar mwayaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]Utanikuta