Nadhani pia timu kutokuwa na malengo ya mechi, ni kama vitu vinajipanga uwanjani, timu ya Misri kaingia 16 bora bila kushinda mechi hata moja, yeye katoa droo zote.Mechi vs Zambia was a deal breaker. Huwezi kuwa na numerical advantage halafu unacheza utopolo wa namna ile. Unarudisha mpira nyuma kila dakika, Fei Toto na Himid ni middle wazuri ila back passes kila wanapopata mpira ulikuwa upumbavu mkubwa. Had we won vs Zambia we'd have qualified for knock out stage.
Mzee mwinyi atengue kauli zake before it's too late.
Kwa nini nisiuone?2027? una uhakika gani utauona?
Rudi kwenu Rwanda we Ng'ombeNa Rais Samia au Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi au na Mwenezi Makonda?
Kweli kabisa,Ni Muda wa kuandaa damu changa Kwa matumizi ya baadae.Bora wangemchukua yule dogo wa yanga aliesajiriwa majuzi hapa shekhan kama sikosei, dogo ana ujasiri wa kupiga mashuti. Muda wa kufosi goli anapelekwa uwanjani anaweza akaotea moja ya maana, kwa kusema kweli viungo na washambuliaji sijaona hata mmoja aliepiga shuti la maana, cha kusikitisha zaidi sioni kizazi cha wafungaji wa kuokoa jahazi next afcon. Asilimia kubwa ya wachezaji watakua hawa hawa tu. Mabeki ukimtoa tshabalala ambae umri wake halisi una utata kidogo wengine wote watakua kwenye umri sahihi kwaiyo wakirudi hao hao sio mbaya ila kule mbele ndio sioni kizazi cha kuwa-replace samata na msuva. Next afcon tumaini letu litakua shekhan, yanga wamtunze vizuri yule dogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haliwezi kuwa chungu, utamu upoo.Naomba tu azime simu mbona ghetto litakuwa chungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee acha fix, kipato cha apeche alolo upoteze 2M ktk betting, bado hujanidanganyaa bhana2M yenyewe na kipato cha papatu papatu, kama sio moyo mgumu ningekuwa nishakufa kwa presha kwa kweli, siku 2,3 hizi nilikuwa duniani sipo ahera sipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasemaaAgainst Morocco: No shot on target
Against Zambia: 2 Shots on target
Against Congo DRC: No shot on target
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna hela za kuchezea aseeh.Turudishiwe michango yetu. 10m yangu kumbe timu yenyewe kimeo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si Sare, mie sijashinda na wee hujashinda pia.Nakusalimia tena
Hahaha hasira .monileMadaku tena ππππ
Kwa hiyo angeenda tungerudi na kombe?
Halafu unataka kwenda 16 bora ukafanye nini?Against Morocco: No shot on target
Against Zambia: 2 Shots on target
Against Congo DRC: No shot on target
Ilikuwa battle la watengeneza vumbi na wanunua vumbi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si Sare, mie sijashinda na wee hujashinda pia.
Nweiii Rhumba imeenda 16 bora, Singeli je??
Hatuna timu paleAgainst Morocco: No shot on target
Against Zambia: 2 Shots on target
Against Congo DRC: No shot on target
Ni risking tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee acha fix, kipato cha apeche alolo upoteze 2M ktk betting, bado hujanidanganyaa bhana
Kama ni kweli Mimi naweza kusema hii itakuwa roho za kibongo za kuzibiana fursa na hii inaadhiri Hata tusiwe na wachezaji wengi ulaya Kwenye ligi kubwa .Kwa hiyo angeenda tungerudi na kombe?
Hawa jamaa ni ushuzi kweliAgainst Morocco: No shot on target
Against Zambia: 2 Shots on target
Against Congo DRC: No shot on target