Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂😂Ukishinda na njaa labda hivi Congo mnawachukulia poa nyinyi?
DahUnakaa kabisa chini unaiombea taifa stazi ishinde,hakika Ni kumkosea muumba kwenye maombi
Ukishinda na njaa labda hivi Congo mnawachukulia poa nyinyi?
Lazima uwe na pressure maana hauna team hapo wale warudi waje wakate mauno wacheze misomisondo tuNaogopa kuangalia hii mechi....yaani presha tupu
Sasa mi ndio nataka nione akitetema mbele ya kina BaccaJua tu Mayele lazima ateteme labda maswahiba wake wa zamani kina Baca wamvunje miguu dakika 3 za mwanzo
Ww umenena.Hata kichwa cha mwendawazimu kikifuzu bado kitaenda kiharibu ladha ya hatua ya 16 bora...hakina timu yenye mpira wa ovyo ktk hii Afcon kama Tanzania
😁😂😂Uwanja mbona umejaa sana leo au Mama Kizimkazi kafanya yake?
Kwa hiyo leo tunawaombea mema Morocco 😭😭😭😭, kweli soka halina adui wala rafiki wa kudumuTukishinda hii game.
Zambia akapigwa.
tumepita tayari
Hizo hatuzitaki aisee.Backpass za kutosha umfunge Congo?
Yaan CCM starz ikupe presha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naogopa kuangalia hii mechi....yaani presha tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanavyoingia haraka haraka kama huwajui unaweza sems wako serious na game!!!
Mshinde na njaaaa labdaTukishinda hii game.
Zambia akapigwa.
tumepita tayari
Kweli aiseeUwanja mbona umejaa sana leo au Mama Kizimkazi kafanya yake?
Maombi tuwaombee hivyohvyo tu hta Mungu akiombwa wakati mwingine hatimizi maombi kwa wakati mpaka miaka mingine huko baadae ndio anajibuUnakaa kabisa chini unaiombea taifa stazi ishinde,hakika Ni kumkosea muumba kwenye maombi
Unaweza kuta wale wote waliopoteza nyumba zao kwenye mvua za juzi, kawapandisha ndege hadi AFCON