Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #161
Dakika ya 3 tunaupiga mwingi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Simba hapo, ninarudia ua kizimkazi hao hadi wasahau mlango wa kutokea uwanjani.Kizimkazi tena mboni wanasema sababu wamevaa Logo ya Simba basi wale wanaocheza ni Sawa na wachezaji wa Simba kwa hio Congo DR leo wanacheza na Simba
TutawashangazaMshinde na njaaaa labda
Hamna team ya kumfunga kongo
Ova
Hawawezi kucheza bila backpass hawaHizo hatuzitaki aisee.
Imagine leo sisi wa kuiombea mema Morocco kweli...Lazima uwe na pressure maana hauna team hapo wale warudi waje wakate mauno wacheze misomisondo tu
Ova
Ndio hivyoKwa hiyo leo tunawaombea mema Morocco 😭😭😭😭, kweli soka halina adui wala rafiki wa kudumu
Ndio waCongo lazima wawashangazeTutawashangaza
Hawatulizi mipira unategemea uifunge Congo?Msuva anakosa umakini 😂😁
Kwa bahati nakubali.Mpira una matokeo katli sana.
Congo anakufa BAO 2-1.
Mtashangaa.
Hii tabia wamefundishwa au ni uwezo mdogo wa kusonga mbele?Hawawezi kucheza bila backpass hawa
Timu inacheza defensive ndio utapata goli?Hawa jamaa inatakiwa tuwavizie, tukiwafunga goli la mapema tutawaamsha watufumue magoli ya kutosha. Twende halftime bilabila. Dakika ya sabini hivi tunawagonga moja alafu tunawashambulia kwa nguvu kuwatisha ili wasitafute kurudisha.
Yaani hapa kutoboa inahitaji kuwa mjanjamjanja flani.
Wanazingua sanaHivi ni Watz Huwa hawafundishiki au hatujui mpira? Kwa nini tunaendelea kucheza nyuma na kupiga mipira kirefu ya Juu ambayo tunaipoteza mda wote?
Leo hawachezi kwa kukamia km walivyocheza na Zambia hawa jamaa ni viazi wamepoa km uji wa mgonjwa wakati Congo wakigusa mpira wanapeleka MotoNatharet upete punguza ujinga fanya commentary kama kuna jamaa yake amuoneshe hii comment