Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kumamake. Tulio gizani hatuoni kitu!?Wanataka kufunga hesabu mapema
Ni kweli uwezo wetu wa kutandaza kabumbu safi unaishia mita 18 kutokq golini kwetu. Hapo tunahitaji ujanjaujanja kulazimisha Goli kwa kujituma kuliko uwezo wetu. Mbele tunasonga kwa kasi na pasi zisizo na accuracyKwamba washinde kiujanja ujanja sio
Bora nikae naweza kuita ndoto nzuri kuliko kukesha kuwaangalia akina Manula, shabalala, samata na uozo mwingine. Mtamisimulia keshoLeo Jumatano 24.01.2024.
Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania
Kikosi cha Tanzania
View attachment 2881901
Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
View attachment 2881904
Tutawatandika CongoLeo Jumatano 24.01.2024.
Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania
Kikosi cha Tanzania
View attachment 2881901
Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
View attachment 2881904
😁😂Kongo wakiingiza tu kambani naenda kulala sababu match itakua imeisha hiyooo
Mlongo wangu, apu hinu ye taifa starz yikita chindu gani?Damu nzito kuliko maji mlongo wangu
Usilale hadi tushindeeeeKongo wakiingiza tu kambani naenda kulala sababu match itakua imeisha hiyooo
Aha kumbe mechi iliyopita ilikuwa hapo hapo. Hapo sawa ila bado idadi ni kubwa kwa timu hiziWamechanganyika na wa mechi ya kwanza; - RSA vs TUN
Wameanza Mchezo wao wa kiboya wa kurudisha mipira nyuma.
Pheeeeeeeeew.