matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Huyu kipara cheusi wamlinde sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wew unamsikiliz mtangazajiTanzania anacheza mpira mkubwa mnoo
Yeah lakini hawashambulii sana ni kama wanazurura tu uwanjani, mechi asilimia kubwa inachezwa nusu uwanja, kipa wa congo anaweza akapewa kitanda alale tu maana mpira haumfikii sanaLeo tanzania wana cheza vizuri sana
Yule kocha muoga sana ni maagizo ya kochahawa kima walikua wapi siku zote kucheza kama hivi??
Kabisahawa kima walikua wapi siku zote kucheza kama hivi??
Congo wakipata mpira wanashambulia mpaka Offside hawaiachi wala hawabembeleziii wanataka Goli Sisi tunacheza kiPSG tunabembeleza mpira mpaka golini hatuchezi mpira dongo kukamiaMipira mirefu yote inapotea. Inatakiwa waboreshe makadilio hawa vijana wetu.
Kuna haja ya makocha kujua topic ya projectile mosheni
Naunga mkono hojaTanzania anacheza mpira mkubwa mnoo
Kwani huu mpira unachezwa chumbani ?Na wew unamsikiliz mtangazaji
Hawakamiiii Goli wanabembeleza mpira sanaTwende kazi taifa stars, naamini tunashinda hii game
Nitake radhi tafadhari, Hiki ni Kingoni bhana.Hiki kimakonde au kimakua
Kuna move moja hapo jamaa alikuwa anaomba mbele mwenye mpira akarudisha. Hii inasababisha kutumia muda mwingi sana kufikia mazingira ya kupata goli.Kurudisha mpira nyuma ndio kitu ambacho kilisahaulika kuongelewa kama kero kwenye maandamano ya leo
Apigwe wapi wakati mnataka mfunge kwa kupiga pass toka Goli mpaka Goli baada mlazimishe GoliTwende piga Hawa batoto ya Kinshasa
BACA anajitahidi sanaAnae boronga leo ni Lusajo