cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kurudisha mpira nyuma ndio kitu ambacho kilisahaulika kubebewa mabango kuongelewa kama kero kwenye maandamano ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kurudisha mpira nyuma ndio kitu ambacho kilisahaulika kubebewa mabango kuongelewa kama kero kwenye maandamano ya leo
Inaitwa recycle siku hizi...Back pass nyingi sana
Hatuwezi kupata goli labda la kubahatisha maana tunacheza nyuma mda wote Sasa huu ni ujinga.Yeah lakini hawashambulii sana ni kama wanazurura tu uwanjani, mechi asilimia kubwa inachezwa nusu uwanja, kipa wa congo unaweza mpa kitanda alale tu maana mpira haumfikii sana
MshaanzaAnahisi yuko kuitumikia Yanga hapo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn sasa, c tunasema ukweli.Mshaanza
Sasa wangoni si kusini huko huko 😁😂😂Nitake radhi tafadhari, Hiki ni Kingoni bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Leo tunashinda na hiyo mikeka itachanikaMliomuua stars kwenye mikeka yenu nawaona tu vitumbo joto ila msijali bichwa la mwendawazimu tunalijua litazingua tu
Hahahahahaha watu wapo kazini tena shift ya usikuTanesco ni shirika takataka kabisa......