Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hizo bilioni zilizopo wameshindwa kweli hata goli la kushikishaLeo itakuwa mara ya mwisho kuangalia Taifa Stars.
tunamiliki mpira hatuna hata shot moja golini, Wachezaji hawana ujasiri kabisa wa kupush mashambulizi mbele wanacheza nyuma tu pasi nyingi sana, Kocha ka relax haoni kwamba dakika ya 70 hamna hata shot afanye sub amekaa tu, wenzetu washabadili wachezaji kama wa 4Pasi nyingi...kama tunaongoza hv
Mayele anapaswa achezewe dakika za 70+ kama mechi iliyopitaKocha wa DRC nae hana akili labda Kwa sababu matokeo yanamlinda ila asingemuanzisha Mayele.
Sababu ni Moja tuu kwamba kisaikolojia wachezaji Wetu wamecheza nae wanamjua so Wana confidence,yule Makambu angecheza badala ya Mayele.
Naona wamemuingiza Bakambu Sasa utaona kama goli halipatikani
Unadie kesho sio?Leo itakuwa mara ya mwisho kuangalia Taifa Stars.
Kocha wa DRC nae hana akili labda Kwa sababu matokeo yanamlinda ila asingemuanzisha Mayele.
Sababu ni Moja tuu kwamba kisaikolojia wachezaji Wetu wamecheza nae wanamjua so Wana confidence,yule Makambu angecheza badala ya Mayele.
Naona wamemuingiza Bakambu Sasa utaona kama goli halipatikani
Hao wameahidiwa pesa kiasi hata Kwa sare ndio maana hawahangaiki kutafuta ushindi,hapo wanalinda heshima tuuYaani hizo bilioni zilizopo wameshindwa kweli hata goli la kushikisha
Kusapoti watu wapumbavu Nako ni shida ,timu Haina hata Dalili za kufunga ,Nyie ndio wahamiaji
Mchunguzwe
Pamoja na kujitahidi bado tuna zero on targetSiwezi kusema kuwa hiyo ndio sababu kuu, najaribu kuisaka sababu kuu sipati jibu kamili, mara zote huwa naamini kiwango chetu ni kidogo ndio sababu kuu, ila leo wamejitutumua.