Hata benchi napo ni uwanjani...kila la heri kwake apate maufundi kuangalia sokaNaona bado yuko benchi. Mechi ngumu hii na kuna mwamba anacheza namba yake yuko vizuri sana, ana miguu kama ina sumaku.
Sana aiseeSamata nae ni kiazi
hovyo sanaSana aisee
Cha bure kina nongwaaaHawa Walioingia Bure, Mbona Hawashangalii?
Jaribu hapaMwenye link
Kona 2 zote holaKwanini mkuu mbona sio mchezaji mbaya
Huyu nae ni tatizoSamata aambiwe ache ubinafsi alichoshindwa kutoa pasi hapo nini?
Kubwa apumzike ukapteniHuyu nae ni tatizo
Ndiyo maana nilisema hii game ingepigwa kule kule Ismailia. Wachezaji wanacheza kwa pressure.Hawa Walioingia Bure, Mbona Hawashangalii?
Na Masimangoo [emoji1787]Cha bure kina nongwaaa