FT: Tanzania 0-1 Uganda | AFCON Qualifier | Benjamin Mkapa Stadium | 28.03.2023

FT: Tanzania 0-1 Uganda | AFCON Qualifier | Benjamin Mkapa Stadium | 28.03.2023

Meneja wa Uwanja kazi anayo sahiv anajamba jamba huko.

Bado uwanja wa ndege kesho Makam wa Rais wa Mashoga USA akija.
uwanja wa ndege watakuwa wameshapigiana simu
technicians wote waingie kuanzia night shift ya leo hadi kesho kutwa... hapo sahivi matumbo joto..
 
Friendly match kati ya Bafana Bafana na Taifa Stars. Pitso Mosimane alikuwa kocha wa Bafana wakati Taifa Stars ikiwa chini ya kocha bora sana, kocha wa soka la kukimbiza kipindi cha pili Mdenmark, JAN POULSEN.

Mechi hii ilikuwa muhimu sana kwakua ndio makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya michezo ilikua imesainiwa na Kikwete alikua uwanjani na alikuwa na wachezaji wote wakiimba wimbo wa Taifa.
Aisee
 
E8436BB1-B4A1-4B44-9B4F-51DD398FF592.jpeg
 
Back
Top Bottom