zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
You seeKichwa cha nani?
Kwa Kimetokea nini tena, WaTz Mnakata tamaa Mapema..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You seeKichwa cha nani?
Kwa Kimetokea nini tena, WaTz Mnakata tamaa Mapema..!
Siasa zimekuwa nyingi sana.
Eti ticket za bure
Samata, Msuva, Luhenge, hawafai kucheza hii timu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Poleee 😁daaaaaamn'...!!
Samatta kutoka ametoa nafasi team kufungukaKwa wasiojua mpira...unaweza kudhani samatta hana msaada...
Mpira wa kisasa ni mipango sana...
Samatta hajalishwa mipira ya maana
Tutolee siasa. Ndo nyie wa mi uzuri wangu uko moyoni as if kuna mwenye mda wa kukupasua auone huo moyoKwa wasiojua mpira...unaweza kudhani samatta hana msaada...
Mpira wa kisasa ni mipango sana...
Samatta hajalishwa mipira ya maana
Yaan ni kumanina sana hii timu....inafungwa nyumbani badala wafanye bidiiHii timu wanasiasa wakiingizaga sijui mihamasa Yao huwa inaharibu aisee
Kuweni sirias basi hata kidogo Wakuu, lini TZ iliizidi Uganda kisoka?Kila mchezaji anataka afunge yeye mambo ya kizamani kweli
Halafu kuna watu wanabeza uwepo wa mtu kama Kibu. Kibu siyo mchoyo, akipata mpira anatafuta mtu anampa nafasi nzuri, hawa kina Samatta na Msuva wanataka wakimbie na mpira wafunge wenyewe. Wamemuambukiza hata Sopu mambo hayo.
Sasa kwani hiyo Niger itafungwa sasa? ThubutuuuHivi Niger Si Bado HATUJAMALIZAAAAAANA Nao..?
Acha ujinga Mkuu umefanya nicheke hadi kupaliwa [emoji2]Timu inacheza kama wana mabusha
Timu inacheza kama wana mabusha