Ni kweli mkuu.

Ila ubunifu waanzia kwenye grass roots ambako wenzetu ndio wamewekeza.

Michezo kama mpira wa miguu sasa hivi ni lazima uwekeze fedha za kutosha na si zikitolewa kuzitumbua.

Wenzetu wamewekeza na sasa hadi watoto wa kike wana world Cup yao na huo ni uwekezaji.

Pia hawa wenzetu katika vyuo vikuu wana shahada mbalimbali za michezo.

Tunahitaji viongozi wa mpira wenye wabunifu, waso na tamaa na wenye kujituma.
 
Hiki kijamaa kilichoumia kina show off nyingi sana
 
Yani wanacheza taratiiiibu hawana haraka utafkiri wao ndo wanaongoza . Wanakera mno
 
Nyokaaa haondoki na nyama yako anakugonga anakichafua anaanza
 
hawa dawa yao tuwapige hata butii tu potelea mbali washinde cha moto wakione
 
Kiukweli mpira wanaocheza wachezaji wetu unashangaza sana pale wanapopoteza sana pasi bila sababu ya msingi....beki anapiga mpira mbele bila kujua anampigia nani

Pia Samatta anawachosha sana wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…