John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Ni ngumu sana kuelewa ukozungumza kishabikiMbona hakuficha Lile goli na ihefu
Ni kweli mkuu.Hapa kwangu mimi tatizo linakuja kwamba timu haina straika
Sisi kama watanzania tunakosa watu wabunifu pale mbele
Angalia pacome,chama,aziz ki, yule jamaa anachomekeaga yule wote ni 10 esque players wanaovuma nchini
Watu hatuna 9 mwenye nguvu
Hatuna namba 10 wenye ubunifu
Timu imejaa wakata umeme na mabeki kibao ambao hawatumii akili kubwa
Mwisho wa siku tunajitahidi kulinda ila kushambulia hamna kitu
Na bila magoli hamna ushindi
Hatujafungwa, Morocco wamepata goli tu.Hatujacheza vzr sema tumeweka watu nyuma kujilinda ambayo pia haijazaa chochote tumefungwa.
Kucheza vzr gani tunacheza back passes mda wote..utaita umecheza vzr huko?
Sana kinaboaaHiki kijamaa kilichoumia kina show off nyingi sana
Aliyefungwa ni kipa!Hatujafungwa Morocco wamepata goli tu.
Mpira unaendelea.
Tupunguze unazi.Uzio wao wa mabua...
Nadhani tuna shida ya kocha to be honest.Msuva pia anasugua benchi!!
Inasikitisha sanaNdiye TANZANIA ONE wetu huyo πππ
Wapenzi wake wanamwita AIR MANULA!
Kimeshatulizwa πSana kinaboaa
Linaonekana kabisaMkuu unaweza kadiria lile shuti?